Mind you that halima mdee ndie aliyezindua ofisi ya chama boko basihaya, mfuko wake umefungua ofisi ya chama mbezi juu, mradi wa bonde la mpunga wa mabillions of money under halima mdee,
to her that is a weak political game you are playing coz she have a number of enemies from the rulling party,but still she is stable
2me i know now halima mdee is thinking of how and when mwenge-tegeta bagamoyo road via makongo lugalo will be complited,when all the citizen of wazo jeshini get power especially the poor,when tegeta wazo-kimara road via madale get all weather road, water in all residencial areas but you are talking about to what extent madam bult the party?
Wewe utakuwa si mwanachama wa chadema nina mashaka na uanachama wako,kwani kwa mwanachama wa chadema kawe haongei maneno hayo ya chuki,wivu,ubabaishaji kwa mdada ambaye hata kama hujui kusoma basi hata picha huoni?
Au imekuuma vile alivyong'aa bungeni-dodoma wiki hii ? Ukaona magazeti,tv,mitandaoni jf,fb,twiter basi umchafue kwa jf?
Huku kwetu uswahilini nawasikiaga wa-dada wakisema, eeh eeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhhhhhhh kaogeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee???????????? Kama mtu akichambia kisu kama wewe.have good saturday. 17/11/2012
bado tunamhitaji huyu dada na wabunge zaidi wa chadema na ikulu tunaitaka 2015