Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,553
tujulisheni ni basi yapi ha​yo sisi wanakerekwe....
wakati Mdee anapita kila kata ya jimbo la Kawe analoliwakilisha bungeni, vijana mnajifanya mpo bize. Hamuendi wana hamtoi ushirikiano wowote kwake. Sasa unakuja kuuliza huku? Ni upuuzi kama ni mkazi wa kawe na hujui chochote. Ulishawahi kumwona kuwasilisha majukumu kwake? Peleka ujinga huko!