What am I missing?

What am I missing?

Umesema release of oxytocin ndio inaleta satisfication, na hyo inafanya, pia hakuna kitendo ambacho kinaacha hizo hormone zikae kwa muda mrefu, nikisali au kufanya kitendo kizuri sawa oxytocin itaachiwa ila zitaisha na zitarudi tena pale ubongo utapo feel ile pressure tena, kuna watu wanasali na hawa feel chochote, hivyo kama kusali kuna leta oxytocin hapo inakuaje
Inabidi ufatilie namna meditation na kusali zinavyo impact ubongo... Utajua ndo maana nilivitaja kama muhimu.
 
na ni matter of feeling, sababu meditation na sex vyote ni vitendo na vyote vinatoa oyxtocin, kwa nini sex ui term kama exernal hapi sijaelewa
They're 2 different things na Zina impact production of hormones kitofauti
 
Inabidi ufatilie namna meditation na kusali zinavyo impact ubongo... Utajua ndo maana nilivitaja kama muhimu.
kuna watu wanafanya hivyo vyote ila mind yao haipo kabisa na hawana impact na hivyo vitu, mi naona satisfication ni pale nafsi yako inapo feel safe and free haijalishi kwenye nini, inaweza kuwa kwenye sala, meditation au relationship acts, soci interaction, eating na mengine mengi ila cha muhimu unafanya vile kwa moyo wako wote na una feel safe basi hapo ndio ume achive satistfication na sio kwenye sala na meditation tu
 
kuna watu wanafanya hivyo vyote ila mind yao haipo kabisa na hawana impact na hivyo vitu, mi naona satisfication ni pale nafsi yako inapo feel safe and free haijalishi kwenye nini, inaweza kuwa kwenye sala, meditation au relationship acts, soci interaction, eating na mengine mengi ila cha muhimu unafanya vile kwa moyo wako wote na una feel safe basi hapo ndio ume achive satistfication na sio kwenye sala na meditation tu
Hayo ni maoni yako
 
They're 2 different things na Zina impact production of hormones kitofauti
biological vyote vipo sawa, sababu vina produce same hormones labda mambo ya spiritual na hayo yana based kwenye faith na sio facts
 
Do your research mkuu
Kama kwenye science nipo sawa ila kwenye spiritual inabidi unipe guidelines ya wapi pa kufanyia research ni based kwenye Ibrahamic religion au hindus na budhist au paganism
 
Kama kwenye science nipo sawa ila kwenye spiritual inabidi unipe guidelines ya wapi pa kufanyia research ni based kwenye Ibrahamic religion au hindus na budhist au paganism
Kwenye religion hipati majibu
Hiyo ni pure science kun research nyingi tu kuhusu meditation and mind functioning
 
Kwenye religion hipati majibu
Hiyo ni pure science kun research nyingi tu kuhusu meditation and mind functioning
na kwenye research zote za sayansi inasema meditation ya ina yoyote ile ina produce oxyticin same as sexual arousal hivyo havina utafuti, kwenye release of hormones hakuna utafauti kabisa labda kwenye vitu vingine kama gaining insight, mindfullness hapo sawa
 
na kwenye research zote za sayansi inasema meditation ya ina yoyote ile ina produce oxyticin same as sexual arousal hivyo havina utafuti, kwenye release of hormones hakuna utafauti kabisa labda kwenye vitu vingine kama gaining insight, mindfullness hapo sawa
Yaani ndo research imeisha hapo?
 
Yaani ndo research imeisha hapo?
Hebu niambie wewe wapi umeona biological na sio psychological kwamba meditation na sex arousal ina produce hormones tofauti, usiseme fanya resaerch hyo ndio fact nenda popote pale kama una taarifa nyingine hyo siyo ya kisayansi
 
Hebu niambie wewe wapi umeona biological na sio psychological kwamba meditation na sex arousal ina produce hormones tofauti, usiseme fanya resaerch hyo ndio fact nenda popote pale kama una taarifa nyingine hyo siyo ya kisayansi
Sijasema hormones tofauti nilikuambia Zina impact brain tofauti... Which reflects how ile hormone ina last
 
Hebu niambie wewe wapi umeona biological na sio psychological kwamba meditation na sex arousal ina produce hormones tofauti, usiseme fanya resaerch hyo ndio fact nenda popote pale kama una taarifa nyingine hyo siyo ya kisayansi
Unge Fanya research mzee kila kitu Kipp online
 
Unge Fanya research mzee kila kitu Kipp online
Nikwambia unajua kuwa mwanadamu akila makande mfulilizo kwa wiki mbili anaota mbawa ukabisha halafu nikwambia we fanya research unaweza, sababau haiwezekani na hivyo ndivyo ninavyosema, sasa wewe hyo research yako sijui umeionea wapi mkuu
 
Nikwambia unajua kuwa mwanadamu akila makande mfulilizo kwa wiki mbili anaota mbawa ukabisha halafu nikwambia we fanya research unaweza, sababau haiwezekani na hivyo ndivyo ninavyosema, sasa wewe hyo research yako sijui umeionea wapi mkuu
We jamaa una shida gani?
 
Back
Top Bottom