Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Nyani hapo pa "sweat, blood, and tears" panawezekana Ulaya huko Tanzania mtu ahenyeke kisa nini? nadhani "Waafrika ndivyo tulivyo" tunapenda vya kunyonga, vya kuchinja hatuviwezi.
Mkuu MMKJJ,
Hivi unafikiri Prof.Dr. James Watson alikuwa na makosa aliposema kile alichosema in 2007?Mi nafikiri na napenda kuungana na Watson kuwa something is wrong with us in our biological/DNA make-up!!licha ya watu (na baadhi ya wazungu) kumponda Watson kuwa ni mbaguzi,alichosema kinahold water,ebu tazama tu jinsi watu pale Tabata Dampo sasa wanalala nje kwa vile makazi yao yamebomolewa kwa "kuvamia ardhi ya mtu"!!BoT mapesa yanachotwa tu ambayo yangeweza kabisa kuziba nyufa hizi za umasikini wa kujitakia,tuna maprofessor kibao kwenye serikali na vyuo ambao wameishia kuvizia na kudandia semina na warsha tu basi...damn it James Watson is right 100%,tena kwa wasomi wa (wanaojiita maprofesa na madokta) kiafrika nadhani Wtason angejaribu pia kupima bongo zao maana hao ndio ovyo kabisa