Kamanda
Senior Member
- Dec 5, 2007
- 150
- 176
Kuazia sasa, wale wezi wa fedha zetu pale Benki Kuu ya Tanzania wamezuiwa kusafiri na karibu wote hadi mchana walikuwa wamesalimisha pasipoti zao kwa jamaa wa usalama wa taifa.
Ninasema wote, ingawa wapo wawili watatu hivi wanaonekana kukwepa kwamba wao hawahusiki, ingawa wanatajwa tajwa sana. Yasemekana wamehojiwa, lakini wanashindwa kubanwa moja kwa moja na wizi huo wa kutisha wa fedha kwa barabara zetu, dawa zetu, elimu yetu na kila kitu chetu.
Miongoni mwa watu hao ambao wazungu wanasema bado wako at larger ni Jeetu Patel na yule muiran anayejifanya sana kuwa mwanaCCM wa damu na swahiba wa Kikwete.. si yule jamaa wa kule Unyamwezini. Yaani hamumjui had nimtaje...haaaaa huyo huyo. naye bado jamaa wa usalama nasikia na wanamuogopa kwa kuwa ni right hand man wa mkuu wa kaya.
Lakini kwa sasa acha wakome. Nasikia wengine wanatamba, hasa Maregezi kuwa hana wasiwasi atarejesha hizo blini 16 alizokwiba. Anasema alichofanya aliziweka benki kwenye fixed account sasa akawa anakula riba, sasa wakizitaka anazo. Anasema amesharejesha 10,000,000,000.
Ninasema wote, ingawa wapo wawili watatu hivi wanaonekana kukwepa kwamba wao hawahusiki, ingawa wanatajwa tajwa sana. Yasemekana wamehojiwa, lakini wanashindwa kubanwa moja kwa moja na wizi huo wa kutisha wa fedha kwa barabara zetu, dawa zetu, elimu yetu na kila kitu chetu.
Miongoni mwa watu hao ambao wazungu wanasema bado wako at larger ni Jeetu Patel na yule muiran anayejifanya sana kuwa mwanaCCM wa damu na swahiba wa Kikwete.. si yule jamaa wa kule Unyamwezini. Yaani hamumjui had nimtaje...haaaaa huyo huyo. naye bado jamaa wa usalama nasikia na wanamuogopa kwa kuwa ni right hand man wa mkuu wa kaya.
Lakini kwa sasa acha wakome. Nasikia wengine wanatamba, hasa Maregezi kuwa hana wasiwasi atarejesha hizo blini 16 alizokwiba. Anasema alichofanya aliziweka benki kwenye fixed account sasa akawa anakula riba, sasa wakizitaka anazo. Anasema amesharejesha 10,000,000,000.