Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Aisee! Mimi hii kitu inanikera sana. Hivi ni kwa nini watu wanakuwa na GUBU. Ni jambo la kuzaliwa nalo au wanajiendekeza tu? Mtu ukimfanyia kosa ataseeema jambo hilo hilo usiku na mchana mpaka kichefuchefu kikupate. Sasa akufanyie yeye wema atataka kila mtu ajue na wewe kila ukikutana naye umshukuru kwa wema aliokutendea.
Hivi na wewe unakerwa na GUBU kama ninavyokereka mimi?
Hivi na wewe unakerwa na GUBU kama ninavyokereka mimi?