BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Honestly kigarama wanaume wana gubu mbaya mno! anarudia rudia hivyo na wakati mwingine atanyamaza ukidhani yameisha kumbe anavuta pumzi huh!
sio hali ya kawaida kwa wanaume...ila ikitokea analo basi najua itakua balaa!