binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,304
- 41,409
Sijambo… Unaendeleaje.Mambo binti Malo
Sijambo… Unaendeleaje.Mambo binti Malo
Yooo ooh 😍Zamani mama yangu alikuwa ni zaidi ya hao wote wanne 😍 Sasa amezeeka, amestaafu mimi ndio mtu wake. Ila sijamcount sababu ha deserve kuwekwa kwenye kundi lolote na yeyote.
Gud sanaSijambo… Unaendeleaje.
Umefanya vizuri wewe sio mtakatifuMimi nilijifunza kua mbinafsi maana nilijikuta najitoa kwa watu Ila sasa hao watu nikiwahitaji mbinde kuwapata nikajifunza kua mbinafsi
Mimi naishi kwenye hii sentence unavyokuja ndo nitakavyokupokeaUmefanya vizuri wewe sio mtakatifu
Kupoteza nguvu zako au kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu wasio na shukrani
Kikawaida kwenye maisha watu tunategemeana
Iwe kwenye afya au ugonjwa, kuna muda kila mmoja wetu huhitaji watu. Kuna msemo unasema watu ni mtaji
Lakini utakuta wengine wanasema, Mimi nipo kivyangu, sijui cha ndugu wala marafiki
Wengine huamini ukipata pesa watu watajitokeza wenyewe, kana kwamba pesa ni sumaku inayovuta kila kitu pesa subuni ya roho
Ukweli ni kwamba, watu tunahitajiana kwa namna nyingi sana
Unaweza kuwa umefungua mradi wako, lakini ili ufikie malengo lazima uwe na team ya watu wa kushirikiana nao
Kuna wakati unaweza kuumwa mpaka ushindwe hata kujisogeza hapo utahitaji watu wakusaidie
Ukiwa mahabusu, utahitaji mtu wa kukutolea dhamana
Ukiandaa sherehe, ili ifane na iwe na furaha lazima watu wajitokeze kulingana na mialiko uliyoitoa
Maana yake ni kwamba, watu tunahitajiana
Swali ni je, wewe una watu?
Una watu ambao ukiwaita wanaweza kuja?
Ukipata matatizo unaamini watakuwa pembeni yako, au ni watu wa misimu leo wapo, kesho hawapo?
Na moja ya watu tunaowazungumzia hapa ni ndugu
Ndugu zako ukiwaita watakuja? Au ni wewe ndiye unayewakimbilia kila wakati? ndugu vichomi
Hivi una mtu anayoweza kukukimbilia maji yakizidi unga?
Au upo kwenye kisiwa chako mwenyewe, lonely 🙁
ShesRise_1
SafiiMimi naishi kwenye hii sentence unavyokuja ndo nitakavyokupokea
Pole😢
Waiter nilitee konyagi ndogo tafadhaliPole😢
Karibu JF
Unataka chai /kahawa
Au password ya WiFi🤪
🤣🤣Waiter nilitee konyagi ndogo tafadhali
Agiza unachotaka ila isiwe maji alafu mwambie yule rafiki yako aje hapa askae aido mwambie nataka kumsalimia
Niagize jack Daniel 🤪Agiza unachotaka ila isiwe maji alafu mwambie yule rafiki yako aje hapa askae aido mwambie nataka kumsalimia
Unatumia tonic au cocaNiagize jack Daniel 🤪
Nb umesema nachotaka😀
GudubaiiiiooooUnatumia tonic au coca
🏃♀️🏃♀️Nenda kamuite waiter amuulize anakunywa nini
Uzi ufungwe, na huu ndo ukweli.Kuna mzee wangu ali nifundisha hata uwe na ukubwa upi, akili au kijiji kipi, kuna saa utabaki mwenyewe.
Sio familia, marafiki au mpenzi wataweza kuwa nawe muda wote, upweke uko natural.
Jf 🤣🤣Kwa kweli sina watu, na watu hawana mimi.