Wewe una watu au watu wana wewe?

Kuna member amekutumia barua ya wazi.
Kamjibu
 
Nakuonea wivu, pia nafurahi kwa ajili yako muombee sana

Unavyo vingi vya kumpa sio lazima iwe pesa dear tena yeye ndio anaejua anachopata kwako na thamani yake ukiachilia mbali undugu wenu
Yeye sio muda wote unipa pesa na shida sio pesa tu kuna kuumwa atakusindikiza hospital.
Anaweza kutuma msg nikajibu baada ya wiki
 
Tawiree!!!
 
Nje ya mada,

Hii comment imenifanya kuijua ID uliyokua unaitumia mwanzo kabla ya kubadili,kisha ukabadili tena na kua na hii ID ya sasa,yani hii ID ni third generation.

Ndani ya mada,

Watu wangu ni familia yangu,marafiki ni watu wakupita tu na huwezi ukawaamini sana.
 
Nje ya mada,

Hii comment imenifanya kuijua ID uliyokua unaitumia mwanzo kabla ya kubadili,kisha ukabadili tena na kua na hii ID ya sasa,yani hii ID ni third generation.
I'd ipi ile ya hata najua basi?
Kama ni hiyo kila mtu anajua sio jambo la siri hata kaka

Ndani ya mada,

Watu wangu ni familia yangu,marafiki ni watu wakupita tu na huwezi ukawaamini sana.
Ni sa hihi kabisa watu huja na kuondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…