GE2025 Wewe siyo Rais wangu!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Urais wake ni wa damu, kamwe hawezi kuwa na amani, kila akilala ataota anaua, damu za watu zitamlilia hadi kizazi chake cha 4.
Mungu atasimama, hatamaliza awamu yake hii ya miaka mitano. Huyu atakufa. Hana kibali mbele za Mungu. Huyu atarudi kizimkazi akiwa kwenye fridge.
 
Afe haraka.
 
Huyu ni rais Haramu, Kila mtu analijua hilo, huku mtaani hakuna mtu anayemkubari
 
Unawakumbuka wale wadada waliokuw Wanatupiga wanaume shuleni 😁
 
Wewe toka umejitambua umewahi shuhudia uchaguzi wenye umwagaji damu kama huu tanganyika? Unatakiwa kuacha unafiki mkuu, hiyo ni dhambi...waliouwawa sio kuku bali ni binadamu kama wewe!
 
Wewe toka umejitambua umewahi shuhudia uchaguzi wenye umwagaji damu kama huu tanganyika? Unatakiwa kuacha unafiki mkuu, hiyo ni dhambi...waliouwawa sio kuku bali ni binadamu kama wewe!
Kuna sababu zilizopelekea hali tuliyonayo, lakini tusisahau kuwa sisi ni wanadamu — maamuzi yetu lazima yawe ya kibinadamu, siyo ya wanyama.

Fujo haziwezi kushinda dola, wala chuki haiwezi kuleta haki. Kama tungechagua njia ya amani — kupiga kura, kusema kwa busara, na kurudi majumbani kwetu — leo tusingekuwa tunahesabu majeruhi na vifo.

Mitandao ya kijamii si silaha, ni daraja la maelewano. Tusitumie kuhamasisha fujo bali tuitumie kueneza ukweli, upendo na utulivu.

Kumbuka: “Usijitengenezee maangamizo kwa mikono yako.”
Amani inaanzia na wewe. 🤝

#AmaniKwanza #UsichocheeFujo #TanzaniaYaAmani #Tujitambue
 
Shame on, what's these gibberish you fool
 
Anawaita raia wake wahalifu😂
 
Njia ya Amani ingekuwa inazingatiwa naimani watu wasingefikia hatua ya kufanya maandamano na fujo.

Kiongozi mwenye hekima hung'atuka ili kuepusha zahama na kadhia kwa wananchi endapo ataona hawezi kuwa na muafaka na mapendekezo yao.

Kinyume cha kutumia hekima ku deal na raia ndio hivyo kutumia mabavu na kuumiza watu wasio na hatia.
 
I think mtu wa kwanza kumlaumu ni Magufuli kwa kutuletea Vice president asiye na uwezo. Kwa kweli hii ni aibu.
 
Wanaopanga maandamano hawaandamani, wanaodhurika ni wale waliyoshawishiwa tu kuandamana.
Vyombo vya ulinzi na usalama vilitoa angalizo la kudumisha amani wakati wa uchaguzi na kuachana na mambo ya uvunjifu wa amani, lakini kuna baadhi ya watu walikaidi na hata kuchoma vitu moto.
 
Unadhani unaweza ukapanga maamdamano katika nchi ambayo haitaki maandamano na ukafanikiwa? Utakuja kubebwa au kupotezwa kabla hata hujamaliza ku organize kwa title ya "mhalifu."

Cha ajabu situation huwa tofauti sana kama maandamano hayo yatalenga kukipamba chama dola.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba kufanya maandamano ya kupinga chama dola ni next to impossible, na nadhani hichi kilichofanyika ni kama kilikuwa kwenye probability zao na kuwaingiza wale wote waliyohusika kwenye makosa.
 
Kwahiyo sioni mahala pa kuwalaumu waandamanaji au organizers wa maandamano toka nje ya nchi. They did what they thought would cause impact and alert to the oppressors.
Ni ukweli usiopingika kwamba kufanya maandamano ya kupinga chama dola ni next to impossible, na nadhani hichi kilichofanyika ni kama kilikuwa kwenye probability zao na kuwaingiza wale wote waliyohusika kwenye makosa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…