bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Hujanishawishi bado hata ungenilipia ada ya uanachama ya miaka kumi sijiungi!!!
PUSH: P - Pray U- Until S - Something H - Happens , si unaona hata signature yako inavyokubalika kwenye chama!!!!!!
Hujanishawishi bado hata ungenilipia ada ya uanachama ya miaka kumi sijiungi!!!
PUSH: P - Pray U- Until S - Something H - Happens , si unaona hata signature yako inavyokubalika kwenye chama!!!!!!
mi najua wewe wangu tu, its just matter of time, hata members wengine walianza hivo hivo kwa kukana kwenda mbele wakati wa kujiunga, lakini sasa ni wanachama hai kabisa!!!!!!
hahahah
hata wanaume wezi
Mtanitoa roho mtoto wa mwenzenu taratibu uanachama wa lazima mie sitaki
mhh Makubwa!