Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
wewe nae, mbona unaharibu sasa....................
Naharibu kwa mpango mzima au mpango wa nje??? Pole bana mkuuu
wewe nae, mbona unaharibu sasa....................
Rev. Klabu nifahamishe basi
gud.
bas msiwe mnauliza maswali yenye kariba ya dharau na kujitia presha
mmekubaliana bas nyie funuanen habar za nani kapita apa zinahuuu?
ebu token zenu uko wakat nyie km msururu bas wakijipanga ni kutoka ubungo mpaka segera!
Mmmh kumbuka ukiingia kwenye club hii hutakaa uache milele. tiGo huleta addiction kubwa
Naharibu kwa mpango mzima au mpango wa nje??? Pole bana mkuuu
mpango wa nje sio mbaya, issue kwa mpango mzima!!!!
Rev hapo hapana pagumu sana aisee mie siwezi aka kwaheri
Jaribu kidogo usione aibu ongea na papaa Bacha!
Mpango mzima kumbe uko humu ooo pole sirudii tena mkuu sory!!
Na kweli Bacha ni Papa wa mtandao wa bei nafuu kuliko yote TZ. Kujaribu no Rev.
Idadi utadanganywa tu ni kweli kabisa. Ukiambiwa 2 jumlisha na wako uwatakao. Kwanza unauliza ili iweje?? Unataka nini hasa huko zaidi ya BP??
acha kunikana mbele ya watu dear!!!!!
Mpango mzima kumbe uko humu ooo pole sirudii tena mkuu sory!!
karibu dear, usihofu!!!!
Kwenye hiyo klabu tafadhali eehhh
usijali, membership fee ntakutolea!
Hujanishawishi bado hata ungenilipia ada ya uanachama ya miaka kumi sijiungi!!!