PostGE2025 Wewe ndiye umetutia doa baya kabisa!

PostGE2025 Wewe ndiye umetutia doa baya kabisa!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Kiburi... ni kiburi

December 9
Sio tu kiburi na ameshatudharau sana watanganyika, na maisha yetu hayana thamani kwake.

Na baada ya kufanya haya mauaji ya juzi ambayo yalikuwa ya kipuuzi kabisa(mauaji ya kisasi) halafu bado vyombo vyetu vya ulinzi ambavyo watanganyika ndio wengi vimeendelea kumlinda, ndio amezidi kutudharau kabisa.
 
1. Kwa kuwafunga wapinzani wako wasishiriki uchaguzi.

2. Watu wanaokukosoa kutekwa. Hupendi kukosolewa.

Job Ndugai aliposema mambo ambayo yalionekana yanakukosoa wewe, ukamfukuza uspika.

Dokta Slaa aliposema mambo ambayo yalionekana kama yanaukosoa utawala wako, ukamvua ubalozi.

Humphrey Polepole yeye si tu ukamvua ubalozi, akatekwa kabisa na pengine ashauawa.

Gwajima alipoukosoa utawala wako, naye ukaanza kumnyanyasa.

Mdude Nyagali alitekwa na pengine ashauawa

Wakenya na Waganda walipokuja kuonyesha mshikamano kwenye kesi ya Lissu, wakatekwa wakaenda kuteswa na kufirwa.

3. Siku ya uchaguzi ilipofika watu wakakukataa. Hawakwenda kupiga na wengi wakaingia mabarabarani kukupinga.

Ukawatuma majambazi wako waende kuwaua watu kiholela.

Umeua maelfu ya Watanzania. Umeua hadi watoto wadogo.

4. Kwa maajabu, baada ya siku mbili tokea siku ya uchaguzi, tume yako ikakutangaza kuwa wewe ndo mshindi wa uchaguzi na eti ulishinda kwa 97.66% ya kura zilizopigwa ambazo ni milioni 32 na ushee.

Huna hata haya. Hakuna Watanzania milioni 31 waliokupigia kura.

5. Kama hilo halitoshi, ukaenda ukaapishiwa uchochoroni huko bila hata kuwapa fursa hao wapiga kura wako milioni 31 kusherehekea ushindi wako.

Halafu leo unajishebedua eti yaliyotokea yametutia doa!

Sikiliza wewe, wewe ndo umelitia doa taifa.
Huyu mama ni hamnqzo kabisa, uwezi wake wa kuwaza na kuchanganua mambo unatoa wasiwasi sana
 
Haya ndio madhara ya kumsikiliza Mange Kimambi asiyekuwa na uzoefu wowote wa hata kuajiriwa na kampuni ya ufagizi zaidi ya kuzaa na wazungu na kuongea ongea mbele ya camera.
 
1. Kwa kuwafunga wapinzani wako wasishiriki uchaguzi.

2. Watu wanaokukosoa kutekwa. Hupendi kukosolewa.

Job Ndugai aliposema mambo ambayo yalionekana yanakukosoa wewe, ukamfukuza uspika.

Dokta Slaa aliposema mambo ambayo yalionekana kama yanaukosoa utawala wako, ukamvua ubalozi.

Humphrey Polepole yeye si tu ukamvua ubalozi, akatekwa kabisa na pengine ashauawa.

Gwajima alipoukosoa utawala wako, naye ukaanza kumnyanyasa.

Mdude Nyagali alitekwa na pengine ashauawa

Wakenya na Waganda walipokuja kuonyesha mshikamano kwenye kesi ya Lissu, wakatekwa wakaenda kuteswa na kufirwa.

3. Siku ya uchaguzi ilipofika watu wakakukataa. Hawakwenda kupiga na wengi wakaingia mabarabarani kukupinga.

Ukawatuma majambazi wako waende kuwaua watu kiholela.

Umeua maelfu ya Watanzania. Umeua hadi watoto wadogo.

4. Kwa maajabu, baada ya siku mbili tokea siku ya uchaguzi, tume yako ikakutangaza kuwa wewe ndo mshindi wa uchaguzi na eti ulishinda kwa 97.66% ya kura zilizopigwa ambazo ni milioni 32 na ushee.

Huna hata haya. Hakuna Watanzania milioni 31 waliokupigia kura.

5. Kama hilo halitoshi, ukaenda ukaapishiwa uchochoroni huko bila hata kuwapa fursa hao wapiga kura wako milioni 31 kusherehekea ushindi wako.

Halafu leo unajishebedua eti yaliyotokea yametutia doa!

Sikiliza wewe, wewe ndo umelitia doa taifa.

View: https://www.youtube.com/watch?v=wm5FppZJAK0
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwenye namba 5 hapo ni kama walikuwa "kitchen part"
 
1. Kwa kuwafunga wapinzani wako wasishiriki uchaguzi.

2. Watu wanaokukosoa kutekwa. Hupendi kukosolewa.

Job Ndugai aliposema mambo ambayo yalionekana yanakukosoa wewe, ukamfukuza uspika.

Dokta Slaa aliposema mambo ambayo yalionekana kama yanaukosoa utawala wako, ukamvua ubalozi.

Humphrey Polepole yeye si tu ukamvua ubalozi, akatekwa kabisa na pengine ashauawa.

Gwajima alipoukosoa utawala wako, naye ukaanza kumnyanyasa.

Mdude Nyagali alitekwa na pengine ashauawa

Wakenya na Waganda walipokuja kuonyesha mshikamano kwenye kesi ya Lissu, wakatekwa wakaenda kuteswa na kufirwa.

3. Siku ya uchaguzi ilipofika watu wakakukataa. Hawakwenda kupiga na wengi wakaingia mabarabarani kukupinga.

Ukawatuma majambazi wako waende kuwaua watu kiholela.

Umeua maelfu ya Watanzania. Umeua hadi watoto wadogo.

4. Kwa maajabu, baada ya siku mbili tokea siku ya uchaguzi, tume yako ikakutangaza kuwa wewe ndo mshindi wa uchaguzi na eti ulishinda kwa 97.66% ya kura zilizopigwa ambazo ni milioni 32 na ushee.

Huna hata haya. Hakuna Watanzania milioni 31 waliokupigia kura.

5. Kama hilo halitoshi, ukaenda ukaapishiwa uchochoroni huko bila hata kuwapa fursa hao wapiga kura wako milioni 31 kusherehekea ushindi wako.

Halafu leo unajishebedua eti yaliyotokea yametutia doa!

Sikiliza wewe, wewe ndo umelitia doa taifa.
A NAKED TRUTH, A PAINFUL TRUTHTO HER....!!!!

How I wish the whole world to get this.
 
Mama ana wakati mgumu sana wa kuiendesha nchi hii miaka 5 itakuwa ya moto kwake
Baada ya mwezi mmoja kila mtu atarudi kwenye shida zake na tutawaacha waendelee na mambo yao ya kula nchi kama kawaida. Hadi sasa hali ya kimaisha imesha kua ngumu na wengi wanajuta.
 
Samia anaongea kama hajali watu waliouawa anachojali sasa ni kupata pesa tu.
Kama kinachosemwa kwamba kuna GENGE limemteka ni kweli, basi yawezekana hizi ni mbinu zake za kuwakomoa hao waliomteka kwa kuwajaza HASIRA wananchi ili wamng'oe Madarakani.
 
Haya ndio madhara ya kumsikiliza Mange Kimambi asiyekuwa na uzoefu wowote wa hata kuajiriwa na kampuni ya ufagizi zaidi ya kuzaa na wazungu na kuongea ongea mbele ya camera.
nenda na wewe kazae na wazungu kama kazi nyepesi
 
Hii umekopi wapi, tunajua huna akili ya kuunga sentence mbili za kiingereza
Are you sure about that? I am a linguist by A-level with a triple C in KLF, ex -Milambo Sec.

If you know, you are knowledgeable
 
Baada ya mwezi mmoja kila mtu atarudi kwenye shida zake na tutawaacha waendelee na mambo yao ya kula nchi kama kawaida. Hadi sasa hali ya kimaisha imesha kua ngumu na wengi wanajuta.
Hapana. Usijidanganye.
Kadrí siku zinavyoenda. Ndo moto unazidi kuchochewa

Sasa hiv hata wasanii hawasikiki tena, mipira haijadiliwi tena zaidi ya redio za kichawa, tiktok challenge zote ni kuhusu Samia.

Moto ni mkubwa, ni karibu week tatu sasa
 
Kama kinachosemwa kwamba kuna GENGE limemteka ni kweli, basi yawezekana hizi ni mbinu zake za kuwakomoa hao waliomteka kwa kuwajaza HASIRA wananchi ili wamng'oe Madarakani.
Hakuna genge lolote lililomteka, yeye ndiye anatoa orders.

Na alianza kusema alivyo siku nyingi, ila Watanzania wengi hawafuatilii mambo tu.

Mpaka leo mnamtengenezea vistory ya kumu explain, mara katekwa, mara washauri wake wanamshauri vibaya. Ujinga tu.

Wakati Tundu Lissu alivyopigwa risasi Samia alisema hao si askari wao, askari wao wakipiga hawakosi.

Pia alisema kuwa watu wakimpigia kura au wasipompigia kura yeye ana uhakika kushinda.

Hamuelewi wapi?
 
Hakuna genge lolote lililomteka, yeye ndiye anatoa orders.

Na alianza kusema alivyo siku nyingi, ila Watanzania wengi hawafuatilii mambo tu.

Mpaka leo mnamtengenezea vistory ya kumu explain, mara katekwa, mara washauri wake wanamshauri vibaya. Ujinga tu.

Wakati Tundu Lissu alivyopigwa risasi Samia alisema hao si askari wao, askari wao wakipiga hawakosi.

Pia alisema kuwa watu wakimpigia kura au wasipompigia kura yeye ana uhakika kushinda.

Hamuelewi wapi?
Labda hayo aliyokuwa anayasema alikuwa ameandikiwa vimemo!
 
Labda hayo aliyokuwa anayasema alikuwa ameandikiwa vimemo!
Rais akiandikiwa kimemo akakisoma hiyo habari inakuwa yake, si ya muandika kimemo.

Kikwete alikuwa anaandikiwa hotuba na January halafu yeye mwenyewe anaisahihisha mara kibao.

Mkapa nyingi alikuwa anaandika mwenyewe.

Kwa hiyo, kuandikiwa kitu si excuse.
 
Rais akiandikiwa kimemo akakisoma hiyo habari inakuwa yake, si ya muandika kimemo.

Kikwete alikuwa anaandikiwa hotuba na January halafu yeye mwenyewe anaisahihisha mara kibao.

Mkapa nyingi alikuwa anaandika mwenyewe.

Kwa hiyo, kuandikiwa kitu si excuse.
Alishasema kwamba "Kikwete ndiye Boss wake",hapo vipi Mkuu?
 
Back
Top Bottom