Wewe mwana JF una taaluma gani?

Wewe mwana JF una taaluma gani?

the....tehe....twehe.....
majibu yenu yameondoa makunyanzi na hasira za wiki nzima yamenipa furha hasubuhi hii na kuondoa gas tumboni iliyotokana na kuvimbiwa wachemsho ya supu

Hahaha
 
unaonekana umekuja mjini sijui na mbio za mwenge au uliparamia gogo na kushindwa kuliachia mpaka kufika Pugu

Ukizaliwa mjini tayari umemaliza form 6, ukikulia mjini wewe una Bsc sasa njoo wewe wa kijijini na vyeti vyako usome vipi watu wanaishi hapa mjini

Sawa ndugu yangu wewe wa mjini!
 
Mkuu na ww ndo walewale huna hata hyo masterz wenye hvo v2 wame2lia 2.kuna wa2 wana cpa,masterz,phd za ukwel plus gpa za kufa m2 but wame2lia 2.ntakupa laki moja ukiatach hyo masterz yako hapa jf

Sasa na wewe binamu mbona 2,2,2 nyingi sana..!??
 
Last edited by a moderator:
taaluma bila kazi upumbavu kaz zenyewe experience miaka mitano vjana na digree zetu tupo vjiweni kama sola dah.
 
.......elimu uwezo,ndo wale wale wa vyeti vile vya chabo halafu daaa....... tanzania ni muungano wa zanzibar na zimbwabwe
 
acha tuu kuna kitu kinaitwa tax law ni hataree

Kuna ndugu yangu aniliwahi kumkuta analia machozi room kwake kisa sheria ngumu, daah nikaona aisee wito wa sheria naudelete moyoni mwangu. Basi mimi enzi. Za b'ness law nilimeza kesi moja tu ya--
Carlill v Carbolic Smoke Ball Company isipokuja kwenye pepa imekula kwangu!
 
acha tuu kuna kitu kinaitwa tax law ni hataree

Kuna ndugu yangu niliwahi kumkuta analia machozi room kwake kisa sheria ngumu, daah nikaona aisee wito wa sheria naudelete moyoni mwangu. Basi mimi enzi. Za b'ness law nilimeza kesi moja tu ya--
Carlill v Carbolic Smoke Ball Company isipokuja kwenye pepa imekula kwangu!
 
Back
Top Bottom