Degree ya kwanza - UDSM
Degree ya Masters - UDSM
Phd - University of Florida at Gainesville
JF tulianza kunako zamani baada ya forum yetu ya wanaAtlanta kukosa support na website kufungwa. Tukahamia JF.
nina digirii ya Ngono, Utapeli na Ulevi specialized in pussy sucking!
madhara ya kuiba mitihani ungekuwa na degree kweli ya kutoka kichwani usingesema'hayo
Mtoa uzi mi sioni ubaya wako kwani umetoa in good faith. Nimepitia comment nyingi dah nadhani kuna baadhi sio GT kwa kuwiana na jina lenyewe la kundi.
Nimeona ishu
>watu hawajajua umuhimu wa kuwa na academic linkage, kushauriana MMU hapo hakuna shida
>inferiorities kwa baadhi(inclusive mimi). Yani nikisema elimu yangu Obvious kuna mtu ajajilinganisha, so kama niko chini huenda nikafeel vby
> wengine ni wasiri by nature, yani basi tu. Unijue ili unitanie/unibeze? So wanaamua kuwa kimya ili kuepusha possible -ve consequences!
Bsc Wildlife Mgt (Sua), Msc Env Mgt)Charles Darwin Univ)
Uliisomea chuo gani hii shahada?
Taaluma au ujuzi uliousomea!
Mtoa uzi mi sioni ubaya wako kwani umetoa in good faith. Nimepitia comment nyingi dah nadhani kuna baadhi sio GT kwa kuwiana na jina lenyewe la kundi.
Nimeona ishu
>watu hawajajua umuhimu wa kuwa na academic linkage, kushauriana MMU hapo hakuna shida
>inferiorities kwa baadhi(inclusive mimi). Yani nikisema elimu yangu Obvious kuna mtu ajajilinganisha, so kama niko chini huenda nikafeel vby
> wengine ni wasiri by nature, yani basi tu. Unijue ili unitanie/unibeze? So wanaamua kuwa kimya ili kuepusha possible -ve consequences!
Bsc Wildlife Mgt (Sua), Msc Env Mgt)Charles Darwin Univ)
Diploma in secondary Education Marangu ttc[2006)
ba -Ed universty of udom 2011
masters of adminstration in education- MWENGE UNIVERSTY (2014)
Shahada ya kuvunja ndoa za watu.
mwenyewe ndio unaona umetoa point!
Duh..mamburula wako wengi Tz,
chadema wana kazi nzito kuanzia 2015 kuongoza mijitu ya dizaini hii,kwani inabidi waanze arifu