Ni kweli mkuu paka huyu hawezi kumla huyu Panya kwa sababu Paka wa Ulaya wana vyakula vyao maalumu sio huyu Panya ingelikuwa ni paka wa kiafrika hapo ningelikubali angeweza kumla huyo panya umesema kweli mkuu MadameX
Mkuu wewe kweli nuksi umefafanuwa kuhusu huyu Paka na huyo Panya ni kama Mafisadi wa kibongo? unatia ndani yake Siasa? Si kuwezi mkuu lakini unayo haki kusema hivyo.... Vinci