Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Je nyau ataacha hicho kipolo kweli?........ Rutashubanyumakula kulana
Ni kweli mkuu paka huyu hawezi kumla huyu Panya kwa sababu Paka wa Ulaya wana vyakula vyao maalumu sio huyu Panya ingelikuwa ni paka wa kiafrika hapo ningelikubali angeweza kumla huyo panya umesema kweli mkuu MadameXHawa ni wale paka wanaokula Whiskas, hali kichefuchefu hiki.
Mkuu wewe kweli nuksi umefafanuwa kuhusu huyu Paka na huyo Panya ni kama Mafisadi wa kibongo? unatia ndani yake Siasa? Si kuwezi mkuu lakini unayo haki kusema hivyo.... Vinciha ha ha.....panya akimaliza kula nae analiwa....amekula vya wenzake nae ataliwa.haya ujumbe mzito huo wa mafasadi wa sekta zote
ha ha ha.....panya akimaliza kula nae analiwa....amekula vya wenzake nae ataliwa.haya ujumbe mzito huo wa mafasadi wa sekta zote