Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Teh wanauza sura tu kupata umaarufu wa kuharibu watoto wa shule.....Poleni ..
Siku hizi majoho na hizo kofia ni kwa ajili ya picha za kuweka Facebook ..
Teh wanauza sura tu kupata umaarufu wa kuharibu watoto wa shule.....Poleni ..
Siku hizi majoho na hizo kofia ni kwa ajili ya picha za kuweka Facebook ..
Yan ujue sijanywa kweli..nimekaa nakula korosho tu hapa na juice ila njaa hata haiishi
Hahahahaaaa jana niligonga moja tu hainisumbui....sema uvivu wa kutoka hm....ila navuta muda mahotelini waivishe nkagonge cha mchana kabisaeti hangover inamalizwa na uji??
eti hangover inamalizwa na uji??
Langu lingebaki kama lilivyo mkuu. Hadithi ya supplementry nilikuwa naisikia tu kwa watu! Ila niliwahi kupata karai 1 nikiwa 2nd year roho iliuma ile mbaya!
Pata supu kaby..
Duh kweli umeniua aisee tehmimi najua ni huyo erick kafakamia mizinga jana leo anafungulia na juice ya azam
karai unalia?
Labda kama ulikuwa ngwini.
Lakini ile barabara ya chini ilikuwa noumer.
Unakuta kitu Mshimba kimesimamia kucha, duh!
Lilikuwa karai la Land Law, wakati huo Prof. Mgongo Fimbo ana enjoy ile mbaya akinyaka watu!
kwa hiyo, kama majoho na kofia hayana maana, wanavyuo wakatae kuyavaa wakati wa graduation au graduation za vyuo zifutwe??
Au kama vyuo havina maana kama inavyosemekana vifungwe?
Au kama kwenda chuo si kupata kazi nzuri wala kuwa mfanyakazi bora, tuwakataze wanetu kujiunga na vyuo?
Duh, hii mpya!!!!
Poleni ..
Siku hizi majoho na hizo kofia ni kwa ajili ya picha za kuweka Facebook ..
Mmmmmh.