Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Kwanza nimefurahi kujua kumbe nawe ni mwana JamiiForums Mwandamizi na mkubwa kabisa lakini pia kumbe ni Mtu ambaye unapenda sana Kufuatilia Mada (Threads) zangu hapa hasa za Kisiasa. Sitaki Kukutaja Jina ila nashukuru tu ya kwamba Mtu ambaye umemuuliza Asubuhi ya Leo kwamba kwani Mzukulu hakubali Dkt. Hussein Mwinyi awe Rais Zanzibar amenifikishia Salamu zako.
Haya sasa kwa Faida yako, wana CCM hapo Lumumba na kule Zanzibar hadi wale waliopo hapa JamiiForums hizi ndizo Sababu zangu kwanini simkubali ambazo naomba ziheshimiwe kwani ni zangu binafsi kutokana na ninavyomfahamu lakini pia kupitia kwa Vyanzo vyangu Muhimu na vya karibu nae ambao wanamjua na wamefanya nae Kazi.
1. Ni Mnafiki sana.
2. Ana Upole usio na tija Kiutendaji
3. Ni Muongo kitu ambacho ni Hatari kwa Ustawi wa Nchini (Kisiwa )
4. Mbinafsi kuliko Maelezo
5. Mdini mno na wala hajifichi
6. Si mtoa Ushirikiano mzuri katika mambo ya Kimsingi
7. Ni mtengeneza Makundi kila mahala ambapo huwa anakuwepo Kiutendaji
Mzukulu naendelea Kusisitiza CCM mkimpitisha Dkt. Hussein Mwinyi Jumapili huko Kikaoni Dodoma mtakuwa mmefanya Kosa Kubwa na mtakuja kunikumbuka na kuukumbuka huu Uzi wangu. Mkimpitisha Profesa Makame Mbarawa Mnyaa au Shamsi Vuai Nahodha mtakuwa mmefanya Maamuzi sahihi. Na atakayeshinda kati ya hawa Wawili basi Mmoja wao awe ndiyo Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.
Sina Chuki naye ila kwa upande wa Urais Dkt. Hussein Mwinyi hafai kabisa.
Haya sasa kwa Faida yako, wana CCM hapo Lumumba na kule Zanzibar hadi wale waliopo hapa JamiiForums hizi ndizo Sababu zangu kwanini simkubali ambazo naomba ziheshimiwe kwani ni zangu binafsi kutokana na ninavyomfahamu lakini pia kupitia kwa Vyanzo vyangu Muhimu na vya karibu nae ambao wanamjua na wamefanya nae Kazi.
1. Ni Mnafiki sana.
2. Ana Upole usio na tija Kiutendaji
3. Ni Muongo kitu ambacho ni Hatari kwa Ustawi wa Nchini (Kisiwa )
4. Mbinafsi kuliko Maelezo
5. Mdini mno na wala hajifichi
6. Si mtoa Ushirikiano mzuri katika mambo ya Kimsingi
7. Ni mtengeneza Makundi kila mahala ambapo huwa anakuwepo Kiutendaji
Mzukulu naendelea Kusisitiza CCM mkimpitisha Dkt. Hussein Mwinyi Jumapili huko Kikaoni Dodoma mtakuwa mmefanya Kosa Kubwa na mtakuja kunikumbuka na kuukumbuka huu Uzi wangu. Mkimpitisha Profesa Makame Mbarawa Mnyaa au Shamsi Vuai Nahodha mtakuwa mmefanya Maamuzi sahihi. Na atakayeshinda kati ya hawa Wawili basi Mmoja wao awe ndiyo Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.
Sina Chuki naye ila kwa upande wa Urais Dkt. Hussein Mwinyi hafai kabisa.