Wewe Baba Yako Mdogo Angefanyaje?

Wewe Baba Yako Mdogo Angefanyaje?

Je mzee ana Sukari? Ninachoona hapa ni kuwa mama alikuwa anachepuka sana, pengine kwa muda mrefu, sasa kwa ugonjwa wa mzee anaona hashibi kabisa chakula cha ndoa, hivyo karudi kwa dada zake akashibishwe Tanga huko. Uwezekano ni mkubwa dada zake wana mjua mwanaume na huyo bwana yuko Tanga.
....Potelea mbali utu uzima wake wa Miaka 54, Mkuu??
Nilidhani ni Wanaume tu ndio Hawazeeki katika mambo haya na Mzee wa miaka 70 anaweza kumtia mimba binti wa hata miaka 15....Kumbe wamama zetu wa karne hizi sasa wamecharuka kufukuzia Mikurunge hata wakiwa na Miaka 50??
 
....Potelea mbali utu uzima wake wa Miaka 54, Mkuu??
Nilidhani ni Wanaume tu ndio Hawazeeki katika mambo haya na Mzee wa miaka 70 anaweza kumtia mimba binti wa hata miaka 15....Kumbe wamama zetu wa karne hizi sasa wamecharuka kufukuzia Mikurunge hata wakiwa na Miaka 50??

Mkuu kina mama huwa wanatulia kama wanasehemu kidogo mzee ana poza, sasa kama mzee mgonjwa ujue mama anapata wazimu, mbaya zaidi akutane na vijana wanasimamia kucha, wanaingia chumvini lazima arudi tanga kwa dada zake waliendeleze libeneke. Labda swali jingine , mama anapata ulabu? kama anapata basi ndio maana tatizo lina kuwa kubwa.

Kuna bibi namjua anakimbilia 60, yeye anapata masanga, akipata balaa lake anataka vijana. ni hatari sana.
 
Siku ikipatikana katiba mpya huyo bibi lazima arudi
 
Back
Top Bottom