Wewe Baba Yako Mdogo Angefanyaje?

Kiapo cha ndoa kinasema mtaishi kwa shida na raha.

Baadhi ya Wanawake huwa wanashindwa kuishi kwenye kipengele cha shida. Kwenye kipindi cha shida ndio tabia zao halisi huonekana. Hivyo alichokifanya Mke hutokea sana kwa wale ambao waume zao ni wagonjwa wa muda mrefu au walioachishwa kazi hivyo simshangai. Ila wanaume wanaofanyiwaga hivi huwa wakipona au wakija kupata kazi 'Revenge' zao huwa sio za kitoto maana huwa wanapataga machungu sana.

Halafu kwa umri wa hao Watoto mbona ni wakubwa tu!. Wanatakiwa waanze kujitegemea na wamsaidie Baba yao, huyo wa kike nae ana umri wa kuchumbiwa.
...Ndio wanavyofanya Mkuu hata kila mtu anapuyanga kivyake vyake.
 
Ha ha Haaa.....
nikitakaga kukuchokoza (tunaita kutoa nyoka pangoni)......
kuna tu thread flani lazima nikuchape nato...
unaruka juu kama masai kisha mm napita vile....
jpili njema.......
Wee aruke nani kama masai, tunaruka wote😂 temper yangu iko mbali sana sometimes, wala sikupanic na huo uchokozi wako. Jpili njema pia File la siri
 
Baba mdogo wako Hana uwezo wa kumlaa tenaa mama alivumila akachokaa akachepukaa akashikwaa hata akisema arudi hapoo aishi nae hawezi kuvumilia kukaa bila kukunwaa huyo Mama bado ana ujana kiufupi ngono kwake ni kama chakula anaogopa mzee siku anaweza mkatakata mapanga bure maana watu wakimya nao noma sana.
 
Baba mdogo wako Hana uwezo wa kumlaa tenaa mama alivumila akachokaa akachepukaa akashikwaa hata akisema arudi hapoo aishi nae hawezi kuvumilia kukaa bila kukunwaa huyo Mama bado ana ujana kiufupi ngono kwake ni kama chakula anaogopa mzee siku anaweza mkatakata mapanga bure maana watu wakimya nao noma sana.
....Inawezekana Mkuu, lakini kuna la kufikirisha hapo...Mwanamke ana Miaka 54 hata Siku Zake zimekoma na tayari yupo kwenye 'Pumziko la Meno!. Menopause, bado ana Genye kiasi cha Kutosa Watoto wake mwenyewe wa Kuzaa kufuata 'Kuni'??
Akili, Matope?
Miaka 54 ameziona ngapi??

Baba mdogo amekubali yaishe kwa kuona Xmkewe ni wa Kumhurumia tu hasa unapoangalia Historia ya ukoo Wao.... Ukiona Mabinti Sita wa Familia moja Wanaolewa na kisha kuachika kila mmoja kwa waKati wake Jua kuna Tatizo la Malezi hapo!! Epuka kujiingiza. Bahati Mbaya yake Baba Mdogo hakulijua hili...
 
....Inawezekana Mkuu, lakini kuna la kufikirisha hapo...Mwanamke ana Miaka 54 hata Siku Zake zimekoma na tayari yupo kwenye 'Pumziko la Meno!. Menopause, bado ana Genye kiasi cha Kutosa Watoto wake mwenyewe wa Kuzaa kufuata 'Kuni'??
Akili, Matope?
Miaka 54 ameziona ngapi??
Baba mdogo amekubali yaishe kwa kuona Xmkewe ni wa Kumhurumia tu hasa unapoangalia Historia ya ukoo Wao.... Ukiona Mabinti Sita wa Familia moja Wanaolewa na kisha kuachika kila mmoja kwa waKati wake Jua kuna Tatizo la Malezi hapo!! Epuka kujiingiza. Bahati Mbaya yake Baba Mdogo hakulijua hili...
Bunch of loosers
 
Huyo mama ni mzee hana mahari pakwenda ni swala la muda tu, kumbuka wanaume wanaweza kukutamani ukiwa kwenye ndoa yako wanajua wanakutumia tu kwa muda wanaotaka alafu unarudi kwa mume wako, wanaume hao sio waoaji na hata wakitaka kuishi na mwanamke hawawezi kumchagua mwanamke anayechepuka kwa sasa huyo mama labda anaona anasehemu ya kwenda lakini mwisho wa siku wote watamtupa hata hao ndugu wanaweza kukubeba kwa muda mwisho wa siku wanaanza kukusema ulimkimbia mume labda kama umeoa familia ya kishenzi isiyo kuwa na adabu ndio maana ni muhimu sana kuchagua mahari sahihi pakwenda kuoa.
 
huyo mama ni mzee hana mahari pakwenda ni swala la muda tu, kumbuka wanaume wanaweza kukutamani ukiwa kwenye ndoa yako wanajua wanakutumia tu kwa muda wanaotaka alafu unarudi kwa mume wako, wanaume hao sio waoaji na hata wakitaka kuishi na mwanamke hawawezi kumchagua mwanamke anayechepuka kwa sasa huyo mama labda anaona anasehemu ya kwenda lakini mwisho wa siku wote watamtupa hata hao ndugu wanaweza kukubeba kwa muda mwisho wa siku wanaanza kukusema ulimkimbia mume labda kama umeoa familia ya kishenzi isiyo kuwa na adabu ndio maana ni muhimu sana kuchagua mahari sahihi pakwenda kuoa
...Umesema maneno ya Uhakika.
 
Miaka 54 ya huyo mama bado hadi ana michepuko ? Kweli age is just a number lol, ilikua ni muda wa kutulia na kumuuguza mumewe na kusubiri wajukuu ila yeye analeta mambo ya ujana wakati ni mtu mzima.🤔

Inamaana alikuwa malaya siku nyingi, na bahati mbaya kapata sababu.
 
....Inawezekana Mkuu. Lakini pamoja na kuwa na Miaka 54 'huduma' hiyo iwe ni moja ya sababu za kuitafuta nje kiasi cha kuitosa familia yake aliyoishi nayo kwa zaidi ya Nusu ya maisha yake hapa Duniani?
Genye tu?...mmmmm, inawezekana...!

Je mzee ana Sukari? Ninachoona hapa ni kuwa mama alikuwa anachepuka sana, pengine kwa muda mrefu, sasa kwa ugonjwa wa mzee anaona hashibi kabisa chakula cha ndoa, hivyo karudi kwa dada zake akashibishwe Tanga huko. Uwezekano ni mkubwa dada zake wana mjua mwanaume na huyo bwana yuko Tanga.
 
Utakuwa ni slow learner.
....Sina Uhakika na Umri wako lakini kama unapitisha Mwaka Mzima bila Mzazi wako kukujulia tu hali na kutaka kufahamu maisha yako yanakwendaje, Jua Kunatatizo Mkuu.
KWA MAMA MTOTO HAKUI...
 
Back
Top Bottom