Haya yanayotokea Zimbabwe unashangaa kitu gani hali yameshatoikea Tanzania.. Pengine sio kwa kiwango hicho lakini yanatokea ktk nchi karibu zote za Kiafrika.. mkuu Ndivyo tulivyo na ajabu tunashangaa leo ya Zimbabwe hali sisi wenyewe tayari tumeisha weka maji kichwani...ZANU PF haina tofauti kabisa na CCM ktk swala la kura na nadhani katika malengo ya chama cha CCM ushindi wa kura ndio umepewa kipaumbele katika katiba yao.. Ushindi ni lazima..
Hivi una maana gani unaposema Marekani inamilikiwa na mchina na mjapani ?
Benki zote!
Na sasa biashara zote za uzalishaji!
Na pia hivi vita vya IRAQI MMAREKANI ANAKOPA MABILIONI KWA MCHINA!
MAREKANI ANADAIWA NA MCHINA PESA AMBAZO MCHINA AKIZIDAI KWA NGUVU KAMA MMAREKANI AKIJIDAI KICHWA NGUMU THEN HAKUTAKALIKA!
MMAREKANI HATHUBUTU HATA SIKU MOJA KUPAMBANA NA MCHINA!
WE UNAFIKIRI MUGABE NI MJINGA ALIPOMKIMBILIA HU JINTAO?
ALI COUNTER BALANCE NA NDIO MAANA ANA CONFIDENCE!
TUMESHAPAMBANA NA AFRIKA HAWATAKI HIVYO VITA!
HIVYO BUSH ANATAPATAPA KWANI NI MKATABA WALIOSAINIANA NA BLAIR NA SASA HAWEZI KUUTIMIZA!
OPTION YAO YA MWISHO NI KUMPA TSIVANGIRAI SILAHA.
Mkuu ile habari ulosema hapo nyuma nadhani hukuelewa kwamba mfanyabiashara unayemzungumzia ni Mimi mwenyewe! Mimi ndiye nilikwqenda bank kujaribu kunua kitu Zimbabwe na kikampuni changu uchwara. Nilikataliwa na maelezo ya mhudumu wa bank alisema Zimbabwe ipo ktk sanction sasa wewe unachotaka kusema bila kuonyesha jinsi wewe ulivyojaribu na kufanikiwa ni maneno ya mgahawani...
Wakuu,
Katika hoja zetu zoote hatujamjadili raisi Thabo Mbeki.
Kuna taarifa kwamba ile meli ya kutoka China ilipotia nanga pale Durban, Mbeki alitoa agizo kwamba vile vifaa vya kijeshi vipakuliwe na shughuli hio ikafanyika bila kupingwa.
Kuna mwenye data zingine.
Vikwazo ni TACTICS ZA KUI ISOLATE SERIKALI NA WATU WAKE! KAMA SI SANCTIONS...BASI MUGABE ANGEWEZA KUSHINDA USHINDI WA TSUNAMI! KUNA NJIA YA KUUSHUGHULIKIA MGOGORO HUU LAKINI OPTION SI KUFANYA WANACHOTAKA BUSH NA BLAIR. BUSH NA BLAIR WALISHAKUBALIANA KITAMBO TU ON IRAQ AND ZIMBABWE AS IN SADDAM AND MUGABE. WASIWAPANGIE WAAFRIKA CHA KUFANYA KWANI MATOKEO YAKE HAYATAMNUFAISHA MWAFRIKA BALI MKOLONI.
Jana Mandela, ametoa maneno mazito sana kumsema Mugabe kwa mara ya kwanza, lakini ninashangaa kuwa kwa nini ameenda kuyasemea majuu badala ya Afrika, tena akiwa amezungukwa na wazungu why? Wakuu naomba kueleweshwa?
Mkuu Thabo Mbeki, nasikia Muagbe anamuita ni play boy, na kwamba anamdharau sana kuwa ni kibaraka wa wazungu na ameshamwabia hivyo mara nyingi usoni kwake, na pia nasikia na sisi bongo anatuona ni a big joke hasa baada ya Joji Kichaka kuja kwetu, nasikia anatudharau sana,
Hapa ndio tunamkumbuka Mwalimu, yule mzee alikuwa na something sijui ni kile kifimbo au tunguli, maana angekwenda kwa huyu Mugabe na angemshikisha adabu, muulize Buyoya wa Burundi!
Unajua nilikuwa nikujibu ila nimegundua itakuwa wastage of time , Mushi nasikitika kusema ya kuwa uwezo bado ni mdogo sana katika masuala ya siasa na ulimwengu kwa ujumla . Mambo mengi unayoyazungumza ni ya vijiweni ....
Mada zako nyingi zimejaa pupa na wala azionyeshi reasoning ya aina yoyote.
Thabo is a joke.
Kuhusu mabenki ya marekani kumilikiwa na JAPAN NA CHINESE?
Uwezo mdogo?
MAJOR YANGU BUSINESS NA NIKO FIT KWENYE WORLD HISTORY!
MAHESABU KESHATOA FORMULA YA WAZALENDO.
KUNGURU MWEUPE KESHAKUPA SOMO...NA WEMBE MKALI ANAYACHANJA MAKALIO YENU NYIE VIBARAKA!
UNASOUND KAMA HUNA AKILI NA HUKU UKIBASE KWENYE PERSONAL ATTACKS FOR INTIMIDATION PURPOSES!
SIJAJA HAPA JF KUTAFUTA SIFA AMA UMWAMBA!
ILA RESOLVE YANGU WHEN I HAPPEN TO BELIEVE IN A CAUSE...NEVER EVER WAVER!
WALISHANIANZISHIA HADI THREADS NA WEWE UNATAKA NINI?