MtuMungu,
Haya yanayotokea Zimbabwe unashangaa kitu gani hali yameshatoikea Tanzania..Mara umesha sahau ya Pemba na ule uchaguzi mdogo vijana wa Chadema walikipata cha mtema kuni!...au kwa sababu hawa ni CCM wajomba zetu, mama zetu na baba zetu?
Pengine yaliyokwisha tokea sii kwa kwa kiwango cha Zimbabwe lakini hakuna geni kabisa kwa nchi zetu -Yanatokea ktk nchi karibu zote za Kiafrika.. Mkuu -Ndivyo tulivyo, ajabu tunashangaa leo ya Zimbabwe hali sisi wenyewe tayari tumeisha weka maji kichwani...ZANU PF haina tofauti kabisa na CCM ktk swala la kura na nadhani katika malengo ya chama cha CCM ushindi wa kura ndio umepewa kipaumbele katika katiba yao.. Ushindi ni lazima..
Mimi nafikir mada hii ilikuwa inazungumzia zaidi kuhusika kwa wazungu na propaganda zao dhidi ya Mugabe na kwamba wanajaribu kila njia kuepusha ukweli kuwa wao ndio kichombezo kikubwa cha maafa yote..
Fundi mchundo,
Mkuu ile habari ulosema hapo nyuma nadhani hukuelewa kwamba mfanyabiashara unayemzungumzia ni Mimi mwenyewe! Mimi ndiye nilikwqenda bank kujaribu kunua kitu Zimbabwe na kikampuni changu uchwara. Nilikataliwa na maelezo ya mhudumu wa bank alisema Zimbabwe ipo ktk sanction sasa wewe unachotaka kusema bila kuonyesha jinsi wewe ulivyojaribu na kufanikiwa ni maneno ya mgahawani...
Werwe kama upo nje iwe Marekani ama Uingereza naokuomba nenda bank yako na wambie unataka kufanya kununua kitu Zimbabwe ambacho unahitaji kutuma hizo fedha kwa kampuni X... kihsa sikia majibu yao.
Halafu swala la Pamba ni jamaa yangu kabisa anayeshughulika na ununuzi wa Pamba Zimbabwe hivyo huwezi kunambia kitu ambacho binafsi nakifahamu vizuri..
Mugabe ni kiongozi mbaya kama alivyokuwa Saadam hHussein na alitakiwa kuondolewa lakini inapotumika swala la WMD kuwa ndio sababu ya uabya wake hapo ndipo napopinga mimi na kusema hawa wazungu washenzi tu. Mugabe ana ubaya wake lakini mengi wanayoyafanya hayamuumizi Mugabe isipokuwa wananchi wa Zimbabwe kama walivyoumia Wa Iran enzi zile walipowekewa vikwazo.. Kama wanavyoumia Wa Cuba kwa sababu tu wao ni Wajamaa!... Cuba hata sikui moja haijawahi kuitishia Marekani kiuchumi wala kisiasa na kusema kweli sioni kabisa sababu ya kuwawekea vikwazo...wanaoumia ni wananchi sio Castrol na utawala wake...
Hii ndio point yangu na hakuna mahala nimempongeza Mugabe kwa ubabe wake wala sinyta mpongeza Morgan kwa kutumiwa na hawa wazungu...
Mwisho, maamuzi yangu yote yametazama Zimbabwe ya kesho baada ya Mugabe na hakika kama Morgan atakuja kuchukua nchio basi tumejivunmia Somalia nyingine!...
Mtakuja nambia.....nakomea hapo ktk mjadala huu..
Haya yanayotokea Zimbabwe unashangaa kitu gani hali yameshatoikea Tanzania..Mara umesha sahau ya Pemba na ule uchaguzi mdogo vijana wa Chadema walikipata cha mtema kuni!...au kwa sababu hawa ni CCM wajomba zetu, mama zetu na baba zetu?
Pengine yaliyokwisha tokea sii kwa kwa kiwango cha Zimbabwe lakini hakuna geni kabisa kwa nchi zetu -Yanatokea ktk nchi karibu zote za Kiafrika.. Mkuu -Ndivyo tulivyo, ajabu tunashangaa leo ya Zimbabwe hali sisi wenyewe tayari tumeisha weka maji kichwani...ZANU PF haina tofauti kabisa na CCM ktk swala la kura na nadhani katika malengo ya chama cha CCM ushindi wa kura ndio umepewa kipaumbele katika katiba yao.. Ushindi ni lazima..
Mimi nafikir mada hii ilikuwa inazungumzia zaidi kuhusika kwa wazungu na propaganda zao dhidi ya Mugabe na kwamba wanajaribu kila njia kuepusha ukweli kuwa wao ndio kichombezo kikubwa cha maafa yote..
Fundi mchundo,
Mkuu ile habari ulosema hapo nyuma nadhani hukuelewa kwamba mfanyabiashara unayemzungumzia ni Mimi mwenyewe! Mimi ndiye nilikwqenda bank kujaribu kunua kitu Zimbabwe na kikampuni changu uchwara. Nilikataliwa na maelezo ya mhudumu wa bank alisema Zimbabwe ipo ktk sanction sasa wewe unachotaka kusema bila kuonyesha jinsi wewe ulivyojaribu na kufanikiwa ni maneno ya mgahawani...
Werwe kama upo nje iwe Marekani ama Uingereza naokuomba nenda bank yako na wambie unataka kufanya kununua kitu Zimbabwe ambacho unahitaji kutuma hizo fedha kwa kampuni X... kihsa sikia majibu yao.
Halafu swala la Pamba ni jamaa yangu kabisa anayeshughulika na ununuzi wa Pamba Zimbabwe hivyo huwezi kunambia kitu ambacho binafsi nakifahamu vizuri..
Mugabe ni kiongozi mbaya kama alivyokuwa Saadam hHussein na alitakiwa kuondolewa lakini inapotumika swala la WMD kuwa ndio sababu ya uabya wake hapo ndipo napopinga mimi na kusema hawa wazungu washenzi tu. Mugabe ana ubaya wake lakini mengi wanayoyafanya hayamuumizi Mugabe isipokuwa wananchi wa Zimbabwe kama walivyoumia Wa Iran enzi zile walipowekewa vikwazo.. Kama wanavyoumia Wa Cuba kwa sababu tu wao ni Wajamaa!... Cuba hata sikui moja haijawahi kuitishia Marekani kiuchumi wala kisiasa na kusema kweli sioni kabisa sababu ya kuwawekea vikwazo...wanaoumia ni wananchi sio Castrol na utawala wake...
Hii ndio point yangu na hakuna mahala nimempongeza Mugabe kwa ubabe wake wala sinyta mpongeza Morgan kwa kutumiwa na hawa wazungu...
Mwisho, maamuzi yangu yote yametazama Zimbabwe ya kesho baada ya Mugabe na hakika kama Morgan atakuja kuchukua nchio basi tumejivunmia Somalia nyingine!...
Mtakuja nambia.....nakomea hapo ktk mjadala huu..