BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
na hii sala ni wakati gani?
kabla hujamgusa mwenzio?
au mnavua nguo ndo mnaanza sala?
au mnasali sebuleni?
mbona inafanya zoezi zima kuwa so predictable and boring?
Ngoja tumsubiri gfsonwin atupe more details hii sala inafanyika wakati gani hasa....je vitabu vya dini navyo vinatutaka tuombe kabla ya shughuli hii?
Last edited by a moderator: