Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
Habari zenu wana jamvi?
naomba kukaribia nipate pumziko la kifikra maaana huko nilipo toka ni majungu, fitna, unafki, uzandiki...... du na kila kitu!
Naamini hapa nitabwaga moyo, au nimekosea wapendwa??
Twende pamoja!!!!!
naomba kukaribia nipate pumziko la kifikra maaana huko nilipo toka ni majungu, fitna, unafki, uzandiki...... du na kila kitu!
Naamini hapa nitabwaga moyo, au nimekosea wapendwa??
Twende pamoja!!!!!