Wenyewe mpoo?

Wenyewe mpoo?

Vumilia Shida

Member
Joined
Jun 5, 2011
Posts
21
Reaction score
1
Hellow wana jf.
Nimekua mhudhuriaji wa jukwaa hili kwa muda mrefu kabla ya kuamua kujiunga. Na hata baada ya kujiunga miezi michache ilopita, sikuwa nimejitambulisha. Nipokeeni niwe mmoja wenu coz jf ina mengi ya kujifunza na kujiburudisha pia.
 
karibu sana Vumilia Shida,jisikie umeshafika wala hujapotea hapa ni JF.
 
karibu, ila nikuuliza swali: kwa nini unajiita vumilia shida na sio pambana na shida? ukiivumilia maana yake umekubali ikutawale... just a question.
 
Tupo tumejaa kama pishi la Mchele... Karibu saana.
 
Back
Top Bottom