Usikose kwenda kutembelea Nyamhongolo na Mahina aisee safi kweli kule. Pakulala kuna Hotel moja tamu sana gorofa mpyaukitoka roundabout ya Picha ya Samaki unaenda Kituo cha Kauma Kenyatta Rodi afu unapandisha kama unaenda Rwegasole.
mnabania mwenzenu starehe,pale deluxe kwanza ni mjini,watu wanatembea mtaani hata saa 9.
sasa akalale capri point kijijini,saa mbili tu huoni mtu barabarani bana,maisha yenyewe haya mafupi,
Hahha hizi lodge za nundu na mecco utampoteza huyo mgeni... tena dv8 hapo ndo asisogee kabisaDV8, neema , sunrise, promise, msalala, horizon, cheers, bayachamo , porojo, kapama, balele may day, river view