Habarn wandugu mimi ni mkazi wa Arusha natazamia kuwa mwanza mwez wa nane kwa mapumziko ya wiki moja,
hii itakuwa mara yangu ya kwanza kufika mwanza, ningependa mnijuze hotel au lodge nzur za bei nafuu avg-50 to 80 Tsh per night, pia na sehem nzur za kutembelea.
Asanteni.
hii itakuwa mara yangu ya kwanza kufika mwanza, ningependa mnijuze hotel au lodge nzur za bei nafuu avg-50 to 80 Tsh per night, pia na sehem nzur za kutembelea.
Asanteni.