Wenyeji mpo?: Hodi hodi Jamvini!

Gagurito

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
5,600
804
mimi ndugu yenu, nilipotea kwa muda. Mime pata mchumba binti wa miaka 22, ni mwenyeji wa same (mpare), msomi wa shahada nani mjasiliamali (enterprenuer) pia. Tabia za watu hawa sizifamu vyema, wakoje? Wanafaa? nishaurini/nielekezeni plz.
 
Nipo serious, nishaurini vizuri kwa experience zenu bhaaaana!
 
Jamani Lizzy.....umenifanya nicheke adi nikajitonesha!!

Hhaha...pole mpenzi...ntajitahidi nisirudie tena!!

Gagu habari ndio hiyo...huna jipya mtu wangu!!Kama unachouliza kingekua na maana ningekusaidia maana bibi yangu alikua Mpare ila tabia yake sidhani kama ni ya kabila zima!!
 
Hhaha...pole mpenzi...ntajitahidi nisirudie tena!!<br />
<br />
Gagu habari ndio hiyo...huna jipya mtu wangu!!Kama unachouliza kingekua na maana ningekusaidia maana bibi yangu alikua Mpare ila tabia yake sidhani kama ni ya kabila zima!!
<br />
<br />
Alikuwaje? I mean alikuwa na tabia zip? Unajua kuna zile tabia general na zile specific. Naulizia jenero! Teh! Nilijua itakuwa utata bt ukweli nasaka ushauri.
 
Hivi wanawake wa pande hizo wamewakosea nn?
manake wiki ipite bila thread inayowahusu wao hamridhiki
mtawakatisha tamaa wenye mpango huo
 
Hivi wanawake wa pande hizo wamewakosea nn?<br />
manake wiki ipite bila thread inayowahusu wao hamridhiki<br />
mtawakatisha tamaa wenye mpango huo
<br />
<br />
Wingi wa hizo threads kwa kiasi fulan umenifanya niuliyie juu ya hawa wenzetu wapare! Wakoje kaka?
 
Wako poa sana niwavumilivu wa maisha pia wanasifa kama za makabila mengine mkuu
<br />
<br />
Wingi wa hizo threads kwa kiasi fulan umenifanya niuliyie juu ya hawa wenzetu wapare! Wakoje kaka?
 
Duh! Kweli watoto wa sikuhizi wanaanza shule mapema. Binti wa miaka 22 ana shahada na keshakuwa mjasiriamali!?
 
Mpeni makavu!, ni hivi huwa wanapenda sasa kazi, ukiwa mvivu au busy sana itakula kwako! Yaani minimum dozi ni twice per day everyday anazokuwa ok huo ndo mpango mzima
 
Mpeni makavu!, ni hivi huwa wanapenda sasa kazi, ukiwa mvivu au busy sana itakula kwako! Yaani minimum dozi ni twice per day everyday anazokuwa ok huo ndo mpango mzima
<br />
<br />
Hahahahahahaa! Kazi kweli kweli.
 
We umependa kabila au umempenda mtu mwenyewe? Mbona unahaha sana! Kama tabia yake inakuridhisha sasa hayo masuala ya kabila ya nini? Au nawe kwenu wamemkataa?
 
Mkuu hapa swala sio kabila,watu wanachanganya sana: ikumbukwe kua kama kabila flani inasemekana wana tabia mbaya si kweli kwamba watu wote wana hyo tabia ila cha msingi mpendane na huyo mwenzio kwa dhati swala sio kabila kwani cku hizi watu wamebadilika sana tofauti na zamani so mkuu naweza kukwambia hayo
 
Kaoe kwenu kama unaulizia juu ya kabila la mtu.na ninachofikir unahisi wanawake wa kabila lenu ndio wazur kwa tabia,una yale mawazo ya kizaman nahisi. Wewe umempenda mtu si kabila,kama umerithika na tabia jibebee mzigo kama atakuwa na mathaifu utayarekebishia ndan kwako,kabila cio ishu siku hz hata mchaga anaoa mmakonde now day.
 
Kaoe kwenu kama unaulizia juu ya kabila la mtu.na ninachofikir unahisi wanawake wa kabila lenu ndio wazur kwa tabia,una yale mawazo ya kizaman nahisi. Wewe umempenda mtu si kabila,kama umerithika na tabia jibebee mzigo kama atakuwa na mathaifu utayarekebishia ndan kwako,kabila cio ishu siku hz hata mchaga anaoa mmakonde now day.
<br />
<br />
Nitalifanyia kazi swala lako. teh! wamakonde ndio stakisikia, nasikia hawajui kulea mume na watoto teh! Mpare wangu ntapambana nae!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom