Yaani wewe furaha yako mtoto wako asigongwe ? elewa huyo ni kiumbe hai ana sifa ya kuzaa na bila kuvua nguo zake hawezi kuzaa! au wewe mama yako alikuzaa vipi? na huyo mkeo anapata vipi mimba? kuna point umejifichia ya kuwalea wasije kuanza mapema lakini haina nguvu sana kwa jinsi navokufikiria, yaani nafsi yako ni kima unawivu na watoto wako wa kike wasipigwe mashine, shekhe wangu huna hata uwezo wa,kuona dunia inakwendaje sasa. Hadi mitoto ya kiume inazagamuliwa uzuri tu hata ufanyeje tena tafadhari usitukane mamba hujavuka mto.Hakuna watu nawacheka kimoyomoyo kama washkaji wenye watoto wakike tupu.
Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuzaš
Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewešš
Yaani mbinu upate kutoka kwa wahuni aisee..tulia wewe nipate mbinu za kumlea binti yangu
Wa kiume mabangi, ukibaka anasahau!Mnasumbuliwa na uoga tu Mkuu, be a man , wajibika kama kawaida sehemu ya malezi ya binti yako, hayo ya ukubwani ni maamuzi yake binafsi.
Akiwa mdogo, play part yako ili isije kuonekana huko mbeleni hamkumfunza kabisa.
kwaheri kawalee mabinti zako vizuriWamefanyaje? Comment yangu umeielewa pia?
Aisee, sawa. Wacha tuone itakuaje huko mbeleniMnasumbuliwa na uoga tu Mkuu, be a man , wajibika kama kawaida sehemu ya malezi ya binti yako, hayo ya ukubwani ni maamuzi yake binafsi.
Akiwa mdogo, play part yako ili isije kuonekana huko mbeleni hamkumfunza kabisa.
kwahio wewe muhuniYaani mbinu upate kutoka kwa wahuni aisee..
Hili ndio la msingi, vijana wanakwepa kuwajibika halafu wanakuja na blah blah zisizo kuwa na mantiki.Mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo.
Ni nadra sana mtoto umemlea vizuri akabadirika sana.
Halafu kumlea mtoto si tu kumwambia fanya hivi na usifanye hivi.
Lazima na wewe uyaishi unavyohimiza awe.
Mazingira pia yanayo mzunguka, marafiki anaoshinda nao wanamchango mkubwa kwenye tabia yake.
Kama unataka kuwin kuwa, rafiki yake wa kwanza. Hapo utakua umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Nimeusoma,nasisitiza,una Mawazo ya kizamani!Nina mjomba wangu anawakiume wa 4,na kawasomesha EMS Hadi Chuo!Vijana ni bangi tupu,Malezi na kumuomba sana Mungu,usikufuru,Je ukijazaa kama Grace machel!soma kichwa cha uzi mkuu.mimi mwenyewe ninae binti mmoja
Nimeusoma,nasisitiza,una Mawazo ya kizamani!Nina mjomba wangu anawakiume wa 4,na kawasomesha EMS Hadi Chuo!Vijana ni bangi tupu,Malezi na kumuomba sana Mungu,usikufuru,Je ukijazaa kama Grace machel!
maisha lazima wawe nayo lakini hawanaga msaada kwa wazazi wao.hasa wakiolewaKuna Member Mmoja Humu JF Alikuwa Na Mawazo Kama Mleta Mada
Thread Yake Ipo Humu Alikuwa Nao Ke Tu Lakini Alileta Ushuhuda Alisimama Na Watoto Wake Mpaka Wakavuka Vikwazo Vyote Wana Maisha Yao
Jamaa Anajivunia Sana
Nakataa: Hakuna watoto wenye upendo Kwa wazazi kama watoto wa kike ,Mimi Nina ushuhuda wa familia nyingi sana! Hata Angalia familia wengi ndugu Huwa wa mke!maisha lazima wawe nayo lakini hawanaga msaada kwa wazazi wao.hasa wakiolewa
Kama baba analalamika kuwa na mtoto wa kike si muhuni huyo ajui kuwa watoto wa kike wanarudisha fadhila nyumbani kuliko wa kiume..kwahio wewe muhuni
wakishaolewa wanasahau nyumbani wanao kumbuka kwao ni msingo mazaNakataa: Hakuna watoto wenye upendo Kwa wazazi kama watoto wa kike ,Mimi Nina ushuhuda wa familia nyingi sana! Hata Angalia familia wengi ndugu Huwa wa mke!
hamjaolewa ee?Sisi kwetu wakike tupo sita na wakiume 2 total 8
Kuna siku nilimuuliza Mzee ulikuwa unajiskiaje kila mtoto anaekuja anakuwa wakike,
Akasema alivyokuwa kijana aliona anakosa mwenzako wakiume mwenzie
Lakini kwenye huu utuuzima wake anasema hajutii kuwa na watoto wakike na anajivunia mno maana Ndo muda wote yupo nao na wajuu zake anafurahia
Tumeolewa ila alitengeneza mazingira wajukuu zake wote wakehamjaolewa ee?
labda momeolewa mitaa ya jiranišTumeolewa ila alitengeneza mazingira wajukuu zake wote wake
Uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo au umeamua tu kuwa mvivu.Hakuna watu nawacheka kimoyomoyo kama washkaji wenye watoto wakike tupu.
Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuzaš
Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewešš
unajisifu kabisa bosi wako ni mwanamkešakiamka na kisirini kazi hunaUwezo wako wa kufikiria umeishia hapo au umeamua tu kuwa mvivu.
Mimi maboss zangu wote ni wanawake na ni wateule wa Rais.
Wazazi wa maboss zangu wangekuwa na mawazo ya kishenzi kama yako huenda wasingewapeleka shule hao wamama.