Wenye nyumba, sikupenda kuwa bachela

Wenye nyumba, sikupenda kuwa bachela

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,831
Lazima mkubali kuwa mimi ni mteja kwenu na ninyi ni watoa huduma kwangu, hivyo baada ya malipo yote... nina haki ya kutumia nyumba yako vile nitakavyo ilimrad sisababishi uharibifu wa mali zako.

Godoro ni langu na hela za kuigharamia mahusianio ni zangu, sasa kwanini unanibania mimi mteja wako nisiye na mke, kutotumia kitanda changu kujistarehesha?

Wakati wala siibughudhi familia yako na wapangaji wengine kwa namna yoyote ile, naomba msininyanyapaae nami ni mteja na nina haki kama wengine!!
 
kama unabadilisha wanawake kama nguo ni lazima ukemewe maana una pepo, kama ni mimi nakutimua kabisa.maadili ya watoto wengi yanaharibika kwa kuwa na watu kama nyinyi ktk jamii.
 
Dah nouma kweli kweli, me ni mpangaji kama wewe, so tusibiri kidogo wenye nyumba watakuja mda c mrefu..!!
 
kama unabadili badili haileti picha nzuri hasa kama kuna watoto wanaokuwa
 
kama unabadilisha wanawake kama nguo ni lazima ukemewe maana una pepo, kama ni mimi nakutimua kabisa.maadili ya watoto wengi yanaharibika kwa kuwa na watu kama nyinyi ktk jamii.

ni kweli..lakin kama napapuchika kistaarabu..inabidi mniache
 
Dah nouma kweli kweli, me ni mpangaji kama wewe, so tusibiri kidogo wenye nyumba watakuja mda c mrefu..!!

mkuu nawe unakutana na ghasia kama hii..au we una mke/mme?
 
kama unabadili badili haileti picha nzuri hasa kama kuna watoto wanaokuwa

mkuu naingia usiku wa manane wakati watoto wote wamelala , ninatoka alfajiri kabla watoto hawajaamka...ila namshangaa huyu mwenye nyumba kunikalia kooni!
 
Utakuwa unaliza kitanza kimzegenuka kwenyu kwenyu kwenyu .....huko nje wanajua unatarasua papuchiii.....!:wacko:
 
miguno wenda ina wakera wapangaji cha kufanya hebu pump up volume kwa sabufer

dali ni gipsam ya kutosha, kelele na miguno haiwi loud kiasi cha kuwapa kero
mkuu kwani wewe unaidhibiti vp hii hali?
 
Mnazdishaga n nyie..uhuru usizidi uwezo papuchika maramojamoja na mkeo aczdi kelele ..mpk watu wajue mnchofanya n pia kitanda kiwe imara co knakeleele inakua disturbance
 
Kuna bint mpangaj mwenzangu anaitwa 'Daladala',waala mwenye nyumba hamsumbui,yeye anachokitaka ni kodi,kuna baadh ya wenye nyumba wana-prefer mabachela,hawatak wanandoa hasa wenye watoto,nyumba nayoish asilimia 98 ni mabachela
 
Utakuwa unaliza kitanza kimzegenuka kwenyu kwenyu kwenyu .....huko nje wanajua unatarasua papuchiii.....!:wacko:

teh teh teh mkuu unamaanisha wanaionea donge?
 
bas huyo mwenye nyumba anazingua we endelea kugegeda 2 manake ndo starehe yako

napenda wenye nyumba wote wawe na itikadi kama zako..hakika nitakuwa na amani
mkuu hii hali una/umeidhibiti vp?
 
Mnazdishaga n nyie..uhuru usizidi uwezo papuchika maramojamoja na mkeo aczdi kelele ..mpk watu wajue mnchofanya n pia kitanda kiwe imara co knakeleele inakua disturbance

mkuu nami nilizani hivyo lakin sasa godoro naweka sakafuni
 
Kuna bint mpangaj mwenzangu anaitwa 'Daladala',waala mwenye nyumba hamsumbui,yeye anachokitaka ni kodi,kuna baadh ya wenye nyumba wana-prefer mabachela,hawatak wanandoa hasa wenye watoto,nyumba nayoish asilimia 98 ni mabachela

teh teh teh hilo jina mbona linaogopesha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom