Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,831
Lazima mkubali kuwa mimi ni mteja kwenu na ninyi ni watoa huduma kwangu, hivyo baada ya malipo yote... nina haki ya kutumia nyumba yako vile nitakavyo ilimrad sisababishi uharibifu wa mali zako.
Godoro ni langu na hela za kuigharamia mahusianio ni zangu, sasa kwanini unanibania mimi mteja wako nisiye na mke, kutotumia kitanda changu kujistarehesha?
Wakati wala siibughudhi familia yako na wapangaji wengine kwa namna yoyote ile, naomba msininyanyapaae nami ni mteja na nina haki kama wengine!!
Godoro ni langu na hela za kuigharamia mahusianio ni zangu, sasa kwanini unanibania mimi mteja wako nisiye na mke, kutotumia kitanda changu kujistarehesha?
Wakati wala siibughudhi familia yako na wapangaji wengine kwa namna yoyote ile, naomba msininyanyapaae nami ni mteja na nina haki kama wengine!!