sawa kiongozi
kwani kelele zinaathiri nini endapo haziko loud?
Bado upo na yule dem au jamaa alikupora...!!!ni kweli..lakin kama napapuchika kistaarabu..inabidi mniache
hujamuelewa mleta mada yeye kila siku anaingiza Goma jipya geto kwake ndo hicho mwenye nyumba hapendiMnazdishaga n nyie..uhuru usizidi uwezo papuchika maramojamoja na mkeo aczdi kelele ..mpk watu wajue mnchofanya n pia kitanda kiwe imara co knakeleele inakua disturbance
Lazima mkubali kuwa mimi ni mteja kwenu na ninyi ni watoa huduma kwangu, hivyo baada ya malipo yote... nina haki ya kutumia nyumba yako vile nitakavyo ilimrad sisababishi uharibifu wa mali zako.
Godoro ni langu na hela za kuigharamia mahusianio ni zangu, sasa kwanini unanibania mimi mteja wako nisiye na mke, kutotumia kitanda changu kujistarehesha?
Wakati wala siibughudhi familia yako na wapangaji wengine kwa namna yoyote ile, naomba msininyanyapaae nami ni mteja na nina haki kama wengine!!
Kama bado hujafika "bei" kwa mwanamke yeyote ili awe mkeo baadae, ni vizuri ukamalizia mambo yako Guest kuliko kusumbua watu mara huyu mara yule. Ukiamua kumpeleka mtu nyumbani awe yule ambaye kuna angalau matarajio ya kuoa. Víjana wa siku hizi voda fasta hamtaki kuelewa hayo..