Hakuna makosa hizo ni formula za maisha kama watu wanavyopeana formula za kutumia internet bure. Status ya mwenye nyumba itakueleza kama anaitegemea au la!Utafahamu vipi kwamba mwenye nyumba anaitegemea nyumba kwa maisha yake? Na kuna makosa mtu kutegemea mali yake ikiwemo nyumba?