Je wenye nyumba kudai kodi ya mwaka mzima ni sahihi? nini kifanyike kuondokana na tatizo?
Je wenye nyumba kudai kodi ya mwaka mzima ni sahihi? nini kifanyike kuondokana na tatizo?
Mkuu post yako imenifanya nijiulize maswali mengi mno, Nahisi kodi yako imefika ukingoni thats why umeandika hivyo.
Mkuu watu wote si wafanya kazi, hiyo ni moja.
Pili hiyo ni biashara kama zingine na wenyewe wanaanalia maslai yao, na kawaida ya biashara haiangalii source yako ya income
Jenga ya kwako
Je wenye nyumba kudai kodi ya mwaka mzima ni sahihi? nini kifanyike kuondokana na tatizo?