Wenye ndoa piteni hapa kwa ushauri

Kosa ni kuvunja ile simu yake. Je, yeye amekuandika vipi kwenye simu yake? (lakini ndio umeshaivunja hivyo!). Sasa huko kwa mchungaji usiku huu, na wachungaji wenyewe wa siku hizi. Kwani hamna waliowasimamia ndoa yenu, au ndio wale mnaowachagua kisa mkewe anaendana na umbo la bi harusi!!
 
mh watu tunatofautiana kuseviwa maadam timbwil namna hyo ningeeleza mi nayokutana nayo kweny ndoa ingekua ni yeye nahc ashafungasha cku nying
 
pole yake ila msevu hata mama flani mm hata cjaseviwa namba tu imekaririwa kichwan
 
Women! Women! Women!
Mentor bado nipo nipo kwanza....sipendi ugomvi..sipendi kupeana presha!!!

Presha he ndio mnazitaka
Yaani amsave mwenzie kwa jina la madam then madam amkenulie meno tuuuuu.
 
Last edited by a moderator:
Lakina mkuu kwanini haujampa heshima yake kama Mke hili neno madam haujalitumia mahali sahihi
 
hivi TCU hawajatoa majibu hawa watoto waende shule vioja vimezidi humu
 

Ameshasema mkewe anapenda kukumbushia mambo ya nyuma/zamani kwahiyo atakuwa ameongezea hapo kwenye issue ya jina.
 

Tusaidie mkuu,unashauri amsevuje?
 

Matatizo ya ndoa huwa yanatatuliwa na mchungaji pamoja na mama mchungaji wakiwa pamoja...Btw sio wachungaji wote ni wahuni.
 
Tatizo la teknolojia katika Afrika. Kwa wenzetu kila teknolojia ina utamaduni wake. Sasa kwetu ni shida kwani teknolojia imekuja bila utamaduni wake. Huyo mkeo anatatizo lingine sio simu. Anatafuta nafasi ya kulisema. Hujakosea hata chembe mkuu.
 
Nakubaliana na wewe, naona dalili hizo, ila nimetulia, sjamuuliza tena tangu alivorudi wala hajaniliza kitu..still we not in good terms

Tatizo la teknolojia katika Afrika. Kwa wenzetu kila teknolojia ina utamaduni wake. Sasa kwetu ni shida kwani teknolojia imekuja bila utamaduni wake. Huyo mkeo anatatizo lingine sio simu. Anatafuta nafasi ya kulisema. Hujakosea hata chembe mkuu.
 
Sante kwa maswali yako mazuri.


Nimemsave madam sio kwa dhana mbaya, just imagine..ni sababu gani mkeo au mmeo akuite baba/mama, this means ni heshima tu lakini sio kwamba amekuzaa!..wala skuchukua muda kifikiri namna gani ya kusave jina lake.


Nilivunja hiyo simu maana alionyesha dharau. Imagine tuna watoto 3, wako boarding over 5 millions nalipa, bado ananiambia hahitaji hata kasimu kangu(ile yake niliivunja), nikaona huyu anataka kunigeuza mi hawala! Mbona nimeishi naye huu mwaka wa 17? Hata hivo nilivunja mpaka nikamwona ameanza kuteyemeka...kuna kitu amejifunza kwa uropokaji wake

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…