Wenye kujua hii biashara ya LSSC

Wenye kujua hii biashara ya LSSC

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Habarini wapendwa Niko mkoani kidogo nimekutana na mate wangu

KTK story za hapa na pale akaninijuz biashara ya LSSC

Binafsi huko nyuma nilishawahi wekeza sehemu nkapigwa

nkaona nimuulize mwenye idea NAYO. Humuuu...

Nahisi n network business

Mwenye idea tujulishane...

Ruksa HATA kujielexa inbox kam una hakika nayoooo
 
Habarini wapendwa Niko mkoani kidogo nimekutana na mate wangu

KTK story za hapa na pale akaninijuz biashara ya LSSC

Binafsi huko nyuma nilishawahi wekeza sehemu nkapigwa

nkaona nimuulize mwenye idea NAYO. Humuuu...

Nahisi n network business

Mwenye idea tujulishane...

Ruksa HATA kujielexa inbox kam una hakika nayoooo
Hawajalipa watu almost for the past 3 weeks
Subiri kwanza
 
Hawajalipa watu almost for the past 3 weeks
Subiri kwanza
Masihara mkuuuu aisee na nimemuuliza hawasumbui kulipa akasema iningia unatoa ndani yamasaa 12..

NkaaamuliZa anakaa wapi likibuma nimtafute

kwa sasa aasemi nkaona OOOH yaliyonkuta mpaka Leo siongei na NDUGU ZANGU niliwekeza pesa pesa kutoa mimba nkaambiwa kampuni imefungwa aisee

Hawa Tena NKASEMA niwafwatilie
 
ni zile ponzi/pyramid scheme sio? --- kama ndiyo , basi mtanzania kujifunza ni kazi sana
 
Masihara mkuuuu aisee na nimemuuliza hawasumbui kulipa akasema iningia unatoa ndani yamasaa 12..

NkaaamuliZa anakaa wapi likibuma nimtafute

kwa sasa aasemi nkaona OOOH yaliyonkuta mpaka Leo siongei na NDUGU ZANGU niliwekeza pesa pesa kutoa mimba nkaambiwa kampuni imefungwa aisee

Hawa Tena NKASEMA niwafwatilie
Bwana wewe maswali yasiwe mengi. Jiingize ukapigwe pesa, uje ulalamike JF tukupe ushauri uende kwa Mwamposa 😃
 
Bwana wewe maswali yasiwe mengi. Jiingize ukapigwe pesa, uje ulalamike JF tukupe ushauri uende kwa Mwamposa 😃
Wapoo waliotoboa mkuu kuuliza sio UJINGA UJINGA kuchelewa
 
Back
Top Bottom