Wenye kinyaa huongoza kwa kuwa wachafu

Dr Restart

JF-Expert Member
Jul 15, 2021
3,267
17,032
Umewahi kukutana na mtu ambaye ana kinyaa kilichopitiliza? Hali yake ya maisha vipi?

Ukweli ni kuwa, sisi binadamu ni wachafu kiasili. Na hii ni kutokana na ukweli kuwa huwezi kuwa msafi kwa asilimia zote. Maisha yetu ya kila wakati yanajumuisha uchafu. Mazingira na miili yetu huzalisha taka nyingi hivyo kuufanya uchafu sehemu ya maisha yetu.

Lakini, kuna watu ambao hali ile huwasababishia usumbufu wa kuchafukwa nafsi kwa namna moja ama nyingine.

Ambacho nimekishuhudia kwa watu wengi wenye kinyaa ambao nimewahi kukutana nao ni kwamba hawasadiki usafi. Yaani ni wachafu kuliko hata wale ambao wao wanaona kawaida.

Watu wenye kinyaa ni wavivu kuushughulikia uchafu husika badala yake wanaona namna ya kuuepuka ni kuukimbia. Badala ya kuondoa huo uchafu wanaukimbia.

Mtu anachukia harufu ya uani, badala ya kuchukua hatua kufanya usafi wanabaki kuziba pua na kuondoka sehemu husika. Huku akimsakazia jirani yake akafanye usafi.

Mtu hapendi kula au kutumia sahani moja na mwenzake kwa madai kuwa ni uchafu, ila ulaji wake wake unachefua mno.

Sawa, hakuna anayependa uchafu ila mwingine ni wa kawaida wala haudhuru.

Kinyaa chako kilandane na kiwango cha usafi wako.

Ila uwe na kinyaa cha kuzama kwa mpalange na chumvini, huko sipo kabisa. Pakimbie.
 
Ni kweli, unakutana na kisistaduu kinajua kuvaa kisafi kwa nje lakini ana kinyaa hata ukitema mate tu....noma inakuja pale ukimvua tu pichu utashangaa inakuaje harufu yake kali ya mbususu hata ye mwenyewe anajidai haisikii
 
True mkuu,

Angalia wamama/wadada wanaogopa hata kushika mavi ya watoto hali huwaje kweye mwili wake na wa mtoto au nyumba kwa ujumla.

Binaadam msafi huukabili uchafu ulioko karibu naye aki sambamba naye na hata jirani.maana haupendi.

Ila mwenye kinyaa huuogopa.
Mimi nilikuwa naishi na mdogo wangu mtoto wa baba mdogo wangu,huyu hata kumwona shemeji yake anapika mpaka mwisho,lazima mood yake wakati wa kula itapungua.ukiuliza sababu nini??atakuitikia tu,nimeshiba.
Ila alikuwa na uwezo wa kupitisha hata siku nne hajaoga dsm hii hii.
 
Ni kweli, unakutana na kisistaduu kinajua kuvaa kisafi kwa nje lakini ana kinyaa hata ukitema mate tu....noma inakuja pale ukimvua tu pichu utashangaa inakuaje harufu yake kali ya mbususu hata ye mwenyewe anajidai haiskii
Na zaidi ya hapo unakuta anatoa Hadi mkun.du..na Kula mavi yake wakati wa game..maana unampiga pipe nyuma unatoa unampa ananyonya anaona Sawa Tu ..Yani anakula mavi yake Kwa Raha zake lakini haoni...wanawake viumbe wa ajabu Sana...
 
True mkuu,

Angalia wamama/wadada wanaogopa hata kushika mavi ya watoto hali huwaje kweye mwili wake na wa mtoto au nyumba kwa ujumla.

Binaadam msafi huukabili uchafu ulioko karibu naye aki sambamba naye na hata jirani.maana haupendi.

Ila mwenye kinyaa huuogopa.
Mimi nilikuwa naishi na mdogo wangu mtoto wa baba mdogo wangu,huyu hata kumwona shemeji yake anapika mpaka mwisho,lazima mood yake wakati wa kula itapungua.ukiuliza sababu nini??atakuitikia tu,nimeshiba.
Ila alikuwa na uwezo wa kupitisha hata siku nne hajaoga dsm hii hii.
Huyo mchafu na mvivu tuu. Nina kinyaa sana hata ukinioshea glass sikuamini taikosha Tena Kisha ndo niitumie. Ukiona mtu ana kinyaa halafu Ni mchafu ujue huyo Ni MVIVU KUPINDUKIA!!!
 
Na zaidi ya hapo unakuta anatoa Hadi mkun.du..na Kula mavi yake wakati wa game..maana unampiga pipe nyuma unatoa unampa ananyonya anaona Sawa Tu ..Yani anakula mavi yake Kwa Raha zake lakini haoni...wanawake viumbe wa ajabu Sana...
Hii kitu unapractice wewe au ni Nchi gani ipo
 
Huyo mchafu na mvivu tuu. Nina kinyaa sana hata ukinioshea glass sikuamini taikosha Tena Kisha ndo niitumie. Ukiona mtu ana kinyaa halafu Ni mchafu ujue huyo Ni MVIVU KUPINDUKIA!!!
Wewe ni msafi tu wala huna kinyaa.

Nimeishi na watu wa aina zote mbili,huyu aina yako ni rafiki yangu wa karibu kabisa.
Kinyaa nahisi ni ugonjwa mwingine kabisa.
 
Ni kweli Tena wanawake wenye kinyaa ni wachafu na wavivu,
Ishia kukutana nawo Gest tu si wa kuwaweka ndani.
 
Back
Top Bottom