Wenje: Magufuli angekuwa hai, asingekubali"ufisadi" huu uliotajwa kwenye ripoti ya CAG

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Mbunge wa zamani wa Nyamagana kupitia CHADEMA EZEKIEL WENJE amenukuliwa akisema kuwa kama Rais wa Awamu ya Tano, Marehemu Dkt John Pombe Magufuli angekuwa hai basi asingekubali hali aliyoiita "ufisadi" huu uliotajwa kwenye ripoti ya CAG.

Nimeshangazwa sana na kauli hii ya Wenje na nimejiuliza kama ni amekuwa MSAHAULIFU, AMEKUWA MNAFIKI au UWEZO WAKE WA KUFIKIRI umepungua tangu aende kuishi Ughaibuni akiukimbia utawala wa huyuhuyu Magufuli anayemhubiri leo.

Wenje anasahau kuwa
1. MAMBO YOTE YA "PLEA BARGAINING" YALIANZISHWA NA JPM, hivyo leo tunapowasema kina Biswalo, kina Dotto James, Baba yao alikuwa JPM

2. Tunamkumbusha tu kuwa ni JPM huyuhuyu ambaye aliuminya uhuru wa CAG, (Sote tunakumbuka yaliyomkuta ASSAD), alimuondoa CAG kinyume na Katiba kwa kufichua madudu ya Serikali yake na pengine kama huyo JPM angakuwa hai leo RIPOTI YA CAG Isingetoka na taarifa kama hizi (INGEFICHA MENGI)

3. Ni wakati wa JPM tuliona TTCL eti ikitoa gawio kwa Serikali lakini leo kutokana na kukua kwa uwazi na ukweli tumeambiwa inaendeshwa kwa hasara na ina madeni hewa ya karibu Bilioni 21.

CAG amefichua uchafu na makosa anasatahili pongezi lakini, WENJE kuja na porojo za JPM ni kutufanya Watzania hatuna kumbukumbu kama yeye suala ambalo hatuwezi kulikubali
 
Mbunge wa zamani wa Nyamagana kupitia CHADEMA EZEKIEL WENJE amenukuliwa akisema kuwa kama Rais wa Awamu ya Tano, Marehemu Dkt John Pombe Magufuli angekuwa hai basi asingekubali hali aliyoiita "ufisadi" huu uliotajwa kwenye ripoti ya CAG.

Nimeshangazwa sana na kauli hii ya Wenje na nimejiuliza kama ni amekuwa MSAHAULIFU, AMEKUWA MNAFIKI au UWEZO WAKE WA KUFIKIRI umepungua tangu aende kuishi Ughaibuni akiukimbia utawala wa huyuhuyu Magufuli anayemhubiri leo.

Wenje anasahau kuwa
1. MAMBO YOTE YA "PLEA BARGAINING" YALIANZISHWA NA JPM, hivyo leo tunapowasema kina Biswalo, kina Dotto James, Baba yao alikuwa JPM

2. Tunamkumbusha tu kuwa ni JPM huyuhuyu ambaye aliuminya uhuru wa CAG, (Sote tunakumbuka yaliyomkuta ASSAD), alimuondoa CAG kinyume na Katiba kwa kufichua madudu ya Serikali yake na pengine kama huyo JPM angakuwa hai leo RIPOTI YA CAG Isingetoka na taarifa kama hizi (INGEFICHA MENGI)

3. Ni wakati wa JPM tuliona TTCL eti ikitoa gawio kwa Serikali lakini leo kutokana na kukua kwa uwazi na ukweli tumeambiwa inaendeshwa kwa hasara na ina madeni hewa ya karibu Bilioni 21.

CAG amefichua uchafu na makosa anasatahili pongezi lakini, WENJE kuja na porojo za JPM ni kutufanya Watzania hatuna kumbukumbu kama yeye suala ambalo hatuwezi kulikubali
Wenje kabisa? Mapema hii, nini kilimpeleka Canada? Huu ni zaidi ya unafiki. Angelikuwepo Magu hiyo ripoti ingesifu serikali sasa angemwajibisha nani zaidi ya kuwapongeza watendaji? Huyo na Lema tangia warudi aidha akili zao wameziaacha kwa mwabwana zao au ziko kwenye yale maeneo nyeti.
 
Mkuu Wenje alikua Mwanza na pengine alitaka kuwafurahisha tu wakazi wa pale so kisiasa hata JPM alipoenda Ikungi alimsifia Lissu Hadi akasema atampa post serikalini akiacha kugombea Urais!! Take it easy ndio demokrasia yenyewe tunayoihubiri Chadema hatuwezi wote kuwa na mindset Moja tutakua hatuna tofauti na CCM.
 
Mbunge wa zamani wa Nyamagana kupitia CHADEMA EZEKIEL WENJE amenukuliwa akisema kuwa kama Rais wa Awamu ya Tano, Marehemu Dkt John Pombe Magufuli angekuwa hai basi asingekubali hali aliyoiita "ufisadi" huu uliotajwa kwenye ripoti ya CAG.

Nimeshangazwa sana na kauli hii ya Wenje na nimejiuliza kama ni amekuwa MSAHAULIFU, AMEKUWA MNAFIKI au UWEZO WAKE WA KUFIKIRI umepungua tangu aende kuishi Ughaibuni akiukimbia utawala wa huyuhuyu Magufuli anayemhubiri leo.

Wenje anasahau kuwa
1. MAMBO YOTE YA "PLEA BARGAINING" YALIANZISHWA NA JPM, hivyo leo tunapowasema kina Biswalo, kina Dotto James, Baba yao alikuwa JPM

2. Tunamkumbusha tu kuwa ni JPM huyuhuyu ambaye aliuminya uhuru wa CAG, (Sote tunakumbuka yaliyomkuta ASSAD), alimuondoa CAG kinyume na Katiba kwa kufichua madudu ya Serikali yake na pengine kama huyo JPM angakuwa hai leo RIPOTI YA CAG Isingetoka na taarifa kama hizi (INGEFICHA MENGI)

3. Ni wakati wa JPM tuliona TTCL eti ikitoa gawio kwa Serikali lakini leo kutokana na kukua kwa uwazi na ukweli tumeambiwa inaendeshwa kwa hasara na ina madeni hewa ya karibu Bilioni 21.

CAG amefichua uchafu na makosa anasatahili pongezi lakini, WENJE kuja na porojo za JPM ni kutufanya Watzania hatuna kumbukumbu kama yeye suala ambalo hatuwezi kulikubali
Ha ha haaa. Wenje anataka kutia mchanga kitumbua.

Yaani anasema ukweli mbele yenu? Mtaishije?
 
Mkuu Wenje alikua Mwanza na pengine alitaka kuwafurahisha tu wakazi wa pale so kisiasa hata JPM alipoenda Ikungi alimsifia Lissu Hadi akasema atampa post serikalini akiacha kugombea Urais!! Take it easy ndio demokrasia yenyewe tunayoihubiri Chadema hatuwezi wote kuwa na mindset Moja tutakua hatuna tofauti na CCM.
Naunga mkono unachokisema kabisa, lakini ni vyema tukachambua mambo kwa wakati uliopo sio kwa kulinganisha mambo na nyakati ambazo sote tunafahamu hakuna anayetaka kurudi huko
 
Wenje kabisa? Mapema hii, nini kilimpeleka Canada? Huu ni zaidi ya unafiki. Angelikuwepo Magu hiyo ripoti ingesifu serikali sasa angemwajibisha nani zaidi ya kuwapongeza watendaji? Huyo na Lema tangia warudi aidha akili zao wameziaacha kwa mwabwana zao au ziko kwenye yale maeneo nyeti.
Mimi ninachosema wachambue ripoti waache unafiki wa kumuingiza JPM kwenye huu mjadala, simple and clear
 
Mkuu kwani hujui kwamba wanasiasa si wa kuaminika? Hata wanaomwamini Samia kwenye maridhiano hawajui tu kwamba Samia anasafisha njia ya kwenda 2025 kurudi kirahisi Ikulu.......Endeleeni kushangilia na kuwaamini wanasiasa
 
Rest well mwamba John Pombe Magufuli
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan


Kazi inaendelea 🙏
 
Mkuu kwani hujui kwamba wanasiasa si wa kuaminika? Hata wanaomwamini Samia kwenye maridhiano hawajui tu kwamba Samia anasafisha njia ya kwenda 2025 kurudi kirahisi Ikulu.......Endeleeni kushangilia na kuwaamini wanasiasa
Kwa hiyo unasemaje kuhusu upande wa pili wa wanaoshiriki maridhiano?
 
Kwa hiyo unasemaje kuhusu upande wa pili wa wanaoshiriki maridhiano?
Suala la muda tu...........Siasa haina adui wala rafiki wa kudumu......na kuna wakati unaweza kutumika kumpandisha mwingine bila wewe kujua.....so acha tu maridhiano yaendelee tutaelewana baadaye
 
Back
Top Bottom