Tunaomba kama mh. Wenje yupo humu azungumzie hilo, vinginevyo unaweza ukawa mwanzo mbaya!
Mbunge sio Mweka hazina; mbona unatuletea habari za vijiwe vya kahawa! Au uko pale kemondo kijiwe cha uongo wa kisiasa nini?Sina imani kabisa na Wenje toka alivyokula michango ya madawati. Mbunge makini hawezi kushindwa kulipa ada...ngoja muda wake upite wana Mwanza wachague mbunge makini.
suala la madawati alishawahi kujibu redioni kuwa kila mara ana utaratibu wa kugawa madawati kila mwisho wa mwaka,na mwaka huu atafanya hivyo mbele ya wananchi kwa pesa zilizochangwa[/QUOTE mkuu zilipatikana 70ml + anakaa nazo mwaka mzima ndio agawe madawati au anazizungushia mahali na kula riba,pili VIC FISH waliahidi kuchonga 40% zaidi ya tulizochanga wananchi.
Acha uongo,ahadi na michango hazikufika mil 70 mimi mwenyewe nilikuwepo sahara siku hiyo
Mbunge sio Mweka hazina; mbona unatuletea habari za vijiwe vya kahawa! Au uko pale kemondo kijiwe cha uongo wa kisiasa nini?
Kama unataka real data nenda ofisi ya mbunge pale Nyamagana (karibu na ofisi za mkuu wa wilaya) utapata data zote kama zilivyo kwa usahihi.
Acha uongo,ahadi na michango hazikufika mil 70 mimi mwenyewe nilikuwepo sahara siku hiyo
Umeona eh! maongo tu yote mafuasi ya CCM na jeshi lao la polisi linalotembea na vitu vyenye ncha kali kuwachoma waandishi wa habari makini.
Sasa hao mnaowalalamikia kwa ufisadi ni waweka hazina? Mwezi uliyopita nilikuwa Mwanza nimetembea maeneo mbalimbali Igoma, Nyakato, Mabatini, Isamilo, Mirongo, kwa kweli watu wanalalamika sana kuhusu Wenje hana msaada wowote kwa wananchi kiufupi wamemchoka.
Jk katimiza ahadi gani?....
Sasa hao mnaowalalamikia kwa ufisadi ni waweka hazina? Mwezi uliyopita nilikuwa Mwanza nimetembea maeneo mbalimbali Igoma, Nyakato, Mabatini, Isamilo, Mirongo, kwa kweli watu wanalalamika sana kuhusu Wenje hana msaada wowote kwa wananchi kiufupi wamemchoka.
unaweza kutuwekea picha mkuu?
Kama tayari wananchi wameshachanga hela ni kwa nini ichukue mwaka mzima kuwakabidhi madawati yao. Halafu kwa nini kama ni michango ya wananchi Mbunge ndiye aamue ni lini fedha hizo zitumike?suala la madawati alishawahi kujibu redioni kuwa kila mara ana utaratibu wa kugawa madawati kila mwisho wa mwaka,na mwaka huu atafanya hivyo mbele ya wananchi kwa pesa zilizochangwa
Sasa hao mnaowalalamikia kwa ufisadi ni waweka hazina? Mwezi uliyopita nilikuwa Mwanza nimetembea maeneo mbalimbali Igoma, Nyakato, Mabatini, Isamilo, Mirongo, kwa kweli watu wanalalamika sana kuhusu Wenje hana msaada wowote kwa wananchi kiufupi wamemchoka.
watu walioahidi b ado hawajakamilisha Michango yao akiwemo mbunge wa Rorya (ccm) na wengineo.Kama tayari wananchi wameshachanga hela ni kwa nini ichukue mwaka mzima kuwakabidhi madawati yao. Halafu kwa nini kama ni michango ya wananchi Mbunge ndiye aamue ni lini fedha hizo zitumike?
muongo ni wewe na wenje ungetuandikia basi ahadi ilifika ngapi na cash ngapi na ni shule gani zimepata madawati mangapi,usifanye watu wooote ni wajinga.tufike mahali tuache kutetea ujinga na tusipokuwa makini Dialo anakuja kwa kasi.....Acha uongo,ahadi na michango hazikufika mil 70 mimi mwenyewe nilikuwepo sahara siku hiyo
kuna dalili za uongo, yaani
watoto hawajalipiwa ada miaka miwili, nani kakwambia kuna utaratibu wa
kulimbikiza ada hata kwa nusu muhula, mtawadanganya wasiosomesha kwa
sasa. ccm inaharibu ufahamu wa watanzania.