Ndugu zangu wana jf, hali ya mwanza siyo shwari hata kidogo, ccm wanataka kulazimisha ushindi, ni kweli kikwete yupo mwanza na nia na madhuni ya kwenda ni kulazimisha masha atangazwe mshindi wakati ni kuwa ameshindwa vibaya sana, hivi sasa wananchi wapo tayari kwa lolote kwani hawataki kudhulumiwa haki yao.
Police wameambiwa wawachape na mabomu na virugu lakini wamekataa kuwapiga watu wanaodaia haki yao, piga simu kwa ndugu jamaa na rafiki yako yeyote aliyepo mwanza atakueleza haya, kwanini ccm na kikwete wake wanataka kufanya hilo, kwanini wanalazimisha matokeo, hapo ni ubunge tu, je kwenye urais haki nako imetendeka kweli.
Ccm inabidi wajue kuwa wao ndiyo walikuwa wanapreach about amani, wakati kumbe hawataki hiyo amani, kwa kweli inabidi tuingie sote barabarani kupambana na kitu hiki. Ni sababu zipi zinawafanya wasitangaze kuwa wameshindwa na kuachia jimbo kwa amani.