harrysonful
Member
- Oct 27, 2010
- 34
- 0
kwa taarifa zinazoendelea kusambaa shinyanga,, mgombea wa chadema bwana shelembi ameibiwa ushindi wake na kusababisha hali ya mchafuko kutokea sasa huko shinyanga..
Pia kwa habari zisizo rasmi mkapa na jk wako mwanza wakimshawishi bwana wenje akubali kushindwa au kujitoa ktk mchakato.. Binafsi naumia sana,, any way nawaachia watanzania.piga simu mwanza na shinyanga wawape habari huko
Pia kwa habari zisizo rasmi mkapa na jk wako mwanza wakimshawishi bwana wenje akubali kushindwa au kujitoa ktk mchakato.. Binafsi naumia sana,, any way nawaachia watanzania.piga simu mwanza na shinyanga wawape habari huko