tocolyitics
Member
- Feb 5, 2012
- 76
- 35
Mbunge wa Nyamagana amewaambia wananchi wa Mwanza kuwa Pinda alikuja kufanya ziara ambayo haikuwa na tija. Wenje anasema Waziri mkuu anakuja na msafara mrefu wa magari zaidi ya 50 ili kukagua mizinga ishirini ya nyuki Buhongwa. je haya siyo matumizi mabaya ya fedha za walipakodi?