Wengine hatumpendi Mungu tunajilazimisha tu

Mkila tunda hakika mtadanja!
Nani ambaye hajawahi kula mbususu humu ili asife?
Mkuu tunda linaluzungumzwa hapo ni Apple na sio Mbususu.
Kumbuka muda Mungu alipokuwa akiumba ulimwengu aliwambia kazaeni muongezeke na kuijaza nchi.

Mwanzo 1:27-28
" 27Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. 28Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi."

Lile tunda(Apple) ulikuwa tu ni mti ambao Mungu alihitaji kuona utiifu wa mwanadamu kwake ya kuwa nimemwambia asifanye jambo hili jee atatii au laah! lakini kumbuka pia hata leo hii Mungu pia ametupatia uchaguzi wa kuchagua tumfuate yeye au yule aliewalaghai wazazi wetu.
Vivyo hivyo ni uchaguzi wetu maana yeye hataki kutuchagulia.
 
Hizi nadharia hazitafsiriki.
Kwann Mungu alimtupa shetani duniani
Kwanza Mungu hakumtupa shetani duniani, lakini badala yake yeye alimfukuza kutoka mbinguni. Lakini aliwatuma malaika kutoa tahadhali sayari zote kuwa yule mdanganyifu kafukuzwa huko mbinguni na hivyo hana makao na atajaribu kulughai ili kusudi apate makao.
Na kabla ya kuja duniani kumbuka alipita katika sayari kadhaa na viumbe wapatikanao huko wote walimkataa(Kumbuka hapa alikuwa akiwaagiza malaika zake kwenda kujaribu). Lakini alipofika sayari yetu aliona sasa wanakwenda kukosa makao na hivyo kuamua kuingia mwenyewe kazini na sio kutuma malaika zake tena. Na hapa alifaulu na mara baada ya kuwa amefauru hii dunia ikawa himaya yake(yaani yeye ndie akawa mmiliki), lakini mara baada ya kifo cha yesu pale msabani aliikomboa dunia hii kutoka mikononi wa shetani.


badala ya motoni
Unapokosea Mungu hakuhukumu moja kwa moja badala yake anakupatia tena nafasi ya kutafakari yale uliyokosea na kutubu na yeye anasamehe. Hii ni tabia yake Vivyo hivyo hata baada ya Lucifer kuwa kakosea alipewa nafasi ili apate kutubu kwa kile alichokifanya na afae tena. Na hii ndio sababu hakumtupa moja kwa moja motoni.

Lakini pia nafasi hii ya kutubu huwa na kikomo mfano kwa Lucifer yeye alikuwa na nafasi ya kutubu mpaka pale yesu alipokuja na duniani na muda wa nafasi yake iliisha pale yesu alivyotundikwa msabani na kusema basi imekwisha. Hapo ndipo ulikuwa ukomo wa muda wake kutubu ulipokuwa umeishia.

Vivyo hivyo hata kwetu sisi hii nafasi ya kutubu tunayopewa ina kikomo chake, mfano mimi nikifa basi muda wangu wa kutubu unakuwa umeisha hivyo kama nilikuwa na dhambi basi nitaendelea kuwa nazo.
 
Kwanza Mungu hakumtupa shetani duniani, lakini badala yake yeye alimfukuza kutoka mbinguni. Lakini aliwatuma malaika kutoa tahadhali sayari zote kuwa yule mdanganyifu kafukuzwa huko mbinguni na hivyo hana makao na atajaribu kulughai ili kusudi apate makao.
Na kabla ya kuja duniani kumbuka alipita katika sayari kadhaa na viumbe wapatikanao huko wote walimkataa(Kumbuka hapa alikuwa akiwaagiza malaika zake kwenda kujaribu). Lakini alipofika sayari yetu aliona sasa wanakwenda kukosa makao na hivyo kuamua kuingia mwenyewe kazini na sio kutuma malaika zake tena. Na hapa alifaulu na mara baada ya kuwa amefauru hii dunia ikawa himaya yake(yaani yeye ndie akawa mmiliki), lakini mara baada ya kifo cha yesu pale msabani aliikomboa dunia hii kutoka mikononi wa shetani.



Unapokosea Mungu hakuhukumu moja kwa moja badala yake anakupatia tena nafasi ya kutafakari yale uliyokosea na kutubu na yeye anasamehe. Hii ni tabia yake Vivyo hivyo hata baada ya Lucifer kuwa kakosea alipewa nafasi ili apate kutubu kwa kile alichokifanya na afae tena. Na hii ndio sababu hakumtupa moja kwa moja motoni.

Lakini pia nafasi hii ya kutubu huwa na kikomo mfano kwa Lucifer yeye alikuwa na nafasi ya kutubu mpaka pale yesu alipokuja na duniani na muda wa nafasi yake iliisha pale yesu alivyotundikwa msabani na kusema basi imekwisha. Hapo ndipo ulikuwa ukomo wa muda wake kutubu ulipokuwa umeishia.

Vivyo hivyo hata kwetu sisi hii nafasi ya kutubu tunayopewa ina kikomo chake, mfano mimi nikifa basi muda wangu wa kutubu unakuwa umeisha hivyo kama nilikuwa na dhambi basi nitaendelea kuwa nazo.
Aliwaangamiza watu wenye dhambi ktk safina ila alimuacha shetani msababishi Ili aendelee kupotosha watu
 
mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.

Na mimi na wewe tunajua kabisa kuwa shetani ndio sababu ya mwanadamu kula lile tunda kwa maana yeye ndie alie washawishi hivyo ni Lucifer anapaswa kulaumiwa juu ya vifo vya wanadamu.
Soma ulichoandika halafu tafakari zaidi mkuu.

Unasema wakati Mungu anamuumba mwanadamu haikuwa lengo la Mungu binadamu afe

Inakuwaje Mungu asiwe na lengo la binadamu kufa halafu akiumbe kifo? Au unataka kusema kifo kiliumbwa kwa lengo lipi?
 
Soma ulichoandika halafu tafakari zaidi mkuu.

Unasema wakati Mungu anamuumba mwanadamu haikuwa lengo la Mungu binadamu afe

Inakuwaje Mungu asiwe na lengo la binadamu kufa halafu akiumbe kifo? Au unataka kusema kifo kiliumbwa kwa lengo lipi?
Mkila ni hakika mtakufa, aliye kula ni mwanadamu sasa huo ulikuwa uchaguzi wa nani?
 
Hata Sodoma pia iliwaua wenye dhambi ila pia bado shetani aliachwa bado yupo anapeta.
Kwa kweli hapa sina majibu sahihi ya kukujibu labda tumuliize mwenyewe.
Yanaitwa maswali yasiyo na majibu.
Mengine huwa ni nadharia tu.Mfano eti Mungu atawachoma watu siku za mwisho.
Mungu sio katili kihivyo na amuogope binadamu hadi asubirie afe ndo amchome moto
 
Hata Sodoma pia iliwaua wenye dhambi ila pia bado shetani aliachwa bado yupo anapeta.
Kwa kweli hapa sina majibu sahihi ya kukujibu labda tumuliize mwenyewe.
Umejenga nyumba,

Hapo ndani kwako anaingia nyoka,

unawaambia wanao kuna nyoka humu msimsogelee kaeni mbali atawauma,

nyoka anawauma wanao mmoja mmoja,

nyoka uwezo wa kumwondoa unao ila humwui unasubiri siku ya mwisho uchome wote wanao waliumwa na nyoka kwa kosa la kuruhusu nyoka awaume na nyoka mwenyewe.

Hizi hadithi za wachungaji kuna mambo hayapo sawa.

MUNGU yupo ila nina wasiwasi na haya mahubiri tunayohubiriwa.

Kuna uwezekano huyu MUNGU si huyu wanayemuhubiri.
 
kutuumba ilikuwa mpango wake, lakini kifo kwa mwanadamu haikuwa mpango wake.

Kuthibitisha hilo hata baada ya mwanadamu kuwa ameanguka dhambini bado amemtoa mwanae ili kuweza kurudisha hali ile ya mwanadamu iliyopotea ya kutokufa.
Yohana 3:16-17 "16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. 17Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye."

kwa hivyo mkuu kama mimi na wewe tukimpokea ni hakika baada ya haya maisha tutaishi milele. Nipende kukualika tufanye jitihada ili tusiikose nafasi ya pili tuliyopewa ya kuishi milele. Kumbuka aliye mwangusha Adam na mpaka leo kifo kipo bado pia lengo lake ni kutuangusha ili pia tuikose nafasi hii ya upendeleo iliyotolewa tena.
Ukifa habari inaishia hapo mzee, hakuna maisha baada ya kifo, hizo mi propaganda za watu weupe na waarabu ili tuwe na tumaini.
 
Aliwaangamiza watu wenye dhambi ktk safina ila alimuacha shetani msababishi Ili aendelee kupotosha watu
Very funny! Yaani watenda dhambi wakaangamizwa kwa maji..brutal death, akamwacha ibilisi, shetani msababishi wa dhambi aendelee kutamba duniani.

Nini kipo nyuma ya huyu Mungu na shetani? Ina maana wana mutual agreement katika ufanyaji kazi wao.
 
Kabla ya kujadili uchaguzi. Tuanzie kwanza kwenye msingi wajambo ambalo ni uwepo wa kifo. Kwanini Myngu aumbe kifo?
Kifo kipo ili wengine wapate kuishi. Usipokufa unawanyima haki ya kuishi viumbe vingine kama funza n.k .

Ng'ombe na mbuzi ili umle si lazima afe?

Ni binadamu tunajipa upekee kuwa ss ni wa pekeee sanaaa kuliko wanyama sababu tunasema tuna nafsi ya utambuzi ila wanyama nao sioni kama wana tofauti na sisi.

Wanaumia, wanapata uchungu, wanafurahi, wanakula, wanajua huu ni muda wa kulala. Wanajilinda, wanawalinda wanaowapenda. Sijajua kwann tunadhani hawana nafsi ya utambuzi.
 
Hivi hakuna uwezekano kuwa shetani akawa ni binadamu kweli?

Yaani ukiangalia matendo yetu unaweza dhani dunia walipewa wanyama halafu wakavamiwa na shetani aitwaye binadamu.

Sisi binadamu tunaua kwa pride tu, yaani mtu anaua mnyama ili apige picha baasi, tunadhulumu haki za viumbe wengine, tunaharibu uoto wa asili,

tunachinja wanyama ili tupate mikoba na bangili, tunafanya majaribio kwa gharama za maisha ya wanyama wengine n.k n.k
 
Kifo kipo ili wengine wapate kuishi. Usipokufa unawanyima haki ya kuishi viumbe vingine kama funza n.k .

Ng'ombe na mbuzi ili umle si lazima afe?

Ni binadamu tunajipa upekee kuwa ss ni wa pekeee sanaaa kuliko wanyama sababu tunasema tuna nafsi ya utambuzi ila wanyama nao sioni kama wana tofauti na sisi.

Wanaumia, wanapata uchungu, wanafurahi, wanakula, wanajua huu ni muda wa kulala. Wanajilinda, wanawalinda wanaowapenda. Sijajua kwann tunadhani hawana nafsi ya utambuzi.
Hii ni kwa mujibu wa mtazamo wako, niliye m quote alikuwa na imani tofauti na ndio maana swali langu lililenga kwake aniambie imekuaje aseme Mungu hakuwa na lengo la binadamu wafe ilihali uwepo wa kifo kimetokana na huyo huyo Mungu.
 
Back
Top Bottom