Wengine hatumpendi Mungu tunajilazimisha tu

Wengine hatumpendi Mungu tunajilazimisha tu

unadhani hata ana shida!!!

yeye mwenyewe katika maagizo yake anasema huwezi kunipenda mimi kama jirani yako unayemwona humpendi,so kama unampenda jirani imetosha.
 
Sasa Naja naja haya malalamiko umeleta huku unataka tukusaidieje?

Afu kuna mada nyingi tu za kipuuzi unaweza kuanzisha na ukapata wachangiaji.
Fanyeni dhihaka na vitu vingine, si Mungu.
Umefanya vema kumuonya lakini muache atumie Uhuru wake ikibidi hata kumtukana Mungu. Hatimaye "mtukanwaji" atamuhukumu sawa sawa na alivyoamua kuutumia uhuru aliopewa.
 
Vitisho kama hivi 👆🤔🤔

Mungu wa vitisho kwa watu wake ni Mungu mwenye stress kupita kawaida
Ukiishi kadri ya miongozo yake...hakuna vitisho.
Na utajikuta unaishi vyema na binadamu wote
 
Mkila tunda hakika mtadanja!
Nani ambaye hajawahi kula mbususu humu ili asife?
 
Bwana anawapenda wampendao,na wale wamtafutao kwa bidii watamuona.

Mkuu amri zote 10 zimejumuishwa katika amri ya UPENDO ambayo iliyo kuu ni hiyo
"mpende Bwana Mungu wako kwa nguvu zako zote,roho yako yote na kwa akili zako zote"

Ya pili yafanana na hiyo,inasema "Mpende jirani yako kama nafsi yako"


Sass wewe mwenzetu hautaki kumpenda MUNGU,unataka umpende nani?
Shetani??
 
Nimeamin jfkuna mapepo na mashetani halisi
 
Ndo maana kila siku unalalamika Mara huna hela ya kula, sijui huna Kazi. Mungu huwapa favor wanaompenda
Hahahaaaaa mleta mada hajui kwamba ni mpaka atakapoamua kumfanya Mungu kuwa Baba yake kwa kumpokea Yesu Kristo ndipo Mungu ajishughulishe na mambo yake. Kuna wakati Baba hujishughulisha na mahitaji ya watoto tu.
 
Back
Top Bottom