Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,239
- 11,694
Dah....sio poa mkuu
Dah....sio poa mkuu
Mkuu soma tena ulichoandika, haikuwa mpango wake? Kama ndio hivyo kwa nini akatuumba kama alijua yatakuwa hivi?mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.
Na mimi na wewe tunajua kabisa kuwa shetani ndio sababu ya mwanadamu kula lile tunda kwa maana yeye ndie alie washawishi hivyo ni Lucifer anapaswa kulaumiwa juu ya vifo vya wanadamu.
Leo umeniamuliaWala hatujapigwa. Sema inavyoonekana wewe unasikiasikia tu neno "Mungu" lakini hujaamua kuonja uuone wema wake "live". Ndio maana huna "grounds" za kusimamia.
Kama nakukwaza nisamehe bure najaribu kukupa ushuhuda wangu binafsi kuhusu Mungu. Hasa ukizingatia mimi kwa asili siyo mtu wa kuamini hear-say. Mke wangu,Baba yangu na Mama yangu na wengineo huwa wananiita "mbishi" kumbe kiuhalisia mimi sio mbishi ila ni mtu wa kuhoji sana lakini kwa nia njema ya kutaka kuujua ukweli ili nisiangamizwe kwa kukosa maarifa. Na huwa siwahoji wanadamu tu hadi Mungu huwa namuhoji tena miswali kibao. Na hakuna swali au hoja ambayo mpaka sasa hajanijibu. Hivyo ndivyo ninavyoishi na Mungu kwa miaka 15 sasa.Leo umeniamulia
Ajafikwa na makubwa bado...Nishetani tu kampitia, shetani anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha hafi peke yake kwenye moto wa jehanamu
Tusali sana wapendwa
Hahahaaaaa why JPM and not Mkapa or Nyerere etcAngemrudisha JPM, ningempenda zaidi.
Watahukumiwa kwa "dhamiri zao"
Imagine wewe ni baba wa watoto kadhaa, alafu unawapenda sana wanao ila kuna mtoto mmoja ambae una mapenzi nae zaidi na upo kusimamia mafanikio yake mpaka afanikiwe, ajabu siku 1 unaskia hadharani akiwatangazia watoto wenzie na watu wengine kwamba "Mimi simpendi baba yangu haswa hata kidogo, basi tu anajipendekeza ili aonekane ananijali ila simtegemei kwa lolote lile katika maisha yangu"Wengine hatuna tu option kulingana na vitisho tulivyopandizwa tangu utotoni ila huyu Mungu hatumpendi haswa
japo hili la kuchomwa moto milele wakati ulikufa una miaka kadhaa tu lina ukakasi sana!!!mtu aishi miaka 140 halafu afe ahukumiwe moto milele na wala sio miaka 140 alioiishi!!shida sana aiseh!!!Siyo kutishana,ni kweli. Kama huamini kwa kusikia subiri utaamini kwa kuona. Kwa hulka, Mimi siyo mtu wa kuamini mambo kirahisi hadi nijiridhishe pasipo shaka yoyote. Achana na faraja hewa ambazo watu wanafarijiana duniani hapa. Mungu yupo na kila asemacho ni dhahiri na kweli.
Ndio maana Mungu hutumia miaka mingi pia kutushauri na kutuonya hadi wengine wanafikia hatua wanautukana uvumilivu huo wa Mungu. Kifupi ni kwamba sisi ndio tunaojichuja wenyewe hapa hapa duniani. Sioni kosa la Mungu. Twende hivi hivi mwisho hesabu. Mwenye masikio na asikie.japo hili la kuchomwa moto milele wakati ulikufa una miaka kadhaa tu lina ukakasi sana!!!mtu aishi miaka 140 halafu afe ahukumiwe moto milele na wala sio miaka 140 alioiishi!!shida sana aiseh!!!
Ukitaka kufanya jambo lolote baya kuna hali inajitokeza ndani yako kabla. Ya kureflect wewe ukifanyiwa jambo hilo utajisikiaje. Hapo ndipo hukumu ilipo. Amri za Mungu zililetwa ili kuhuisha hali hiyo ambayo tuliumbiwa nayo kabla. UTASHIDhamiri zipi wakati wao walikua wanafahamu kuua falme nyingi ni jambo la kishujaa
Ukitaka kufanya jambo lolote baya kuna hali inajitokeza ndani yako kabla. Ya kureflect wewe ukifanyiwa jambo hilo utajisikiaje. Hapo ndipo hukumu ilipo. Amri za Mungu zililetwa ili kuhuisha hali hiyo ambayo tuliumbiwa nayo kabla. UTASHI
Hao mabinti wao walikuwa wanaichukuliaje hali hiyo,je,wanaridhika?. Wivu je?Mfano enzi hizo za utawala watemi walikua wanafanya mapenzi na mabinti ata zaidi ya 50. Na wao walikua wanachukulia kawaida sasa watahukumiwaje
Hao mabinti wao walikuwa wanaichukuliaje hali hiyo,je,wanaridhika?. Wivu je?
kutuumba ilikuwa mpango wake, lakini kifo kwa mwanadamu haikuwa mpango wake.Mkuu soma tena ulichoandika, haikuwa mpango wake? Kama ndio hivyo kwa nini akatuumba kama alijua yatakuwa hivi?
Ikiwa ni hivyo huoni kama his mission is a failure?
Hii dhambi inatuhusu kwa sababu sisi tu watoto wa Adam na kwa kuwa tu watoto wake basi hii tayari imekuwa kwenye asili yetu.Sasa hiyo dhambi inatunusu nn sisi?
Hizi nadharia hazitafsiriki.mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.
Na mimi na wewe tunajua kabisa kuwa shetani ndio sababu ya mwanadamu kula lile tunda kwa maana yeye ndie alie washawishi hivyo ni Lucifer anapaswa kulaumiwa juu ya vifo vya wanadamu.