Mi natafuta Mzungu jamani...ila sio mbabu!
Am mo than serious atii! Pliz. Help
Mmmh kwani my ex bado tu upo single? Mie nipo double cute b sijui hata inaitwaje ile list yake, pole sana
Tukisema tupo single, tunamaanisha hatupo committed to anyone. Wapo ambao wana watu wao wanatambulika kila mahali, ila bado ni wahuni wa kutupa.
Tuondoke mama maana sie hatujawahi kuwa single, tunaisikia tu kwenye bomba, teh teh
mtafute MANGE KIMAMBI ana makabrasha inayoweza kukusaidia kupata mzungu.
Mi natafuta Mzungu jamani...ila sio mbabu!
Am mo than serious atii! Pliz. Help
Lakini wengine tuko single kweli usiogope ila huwezi kunijuwa just for facebook account wengine hatujilipui mule.
Sema Hakyamungu....
Hakyamungu vile? Why?
Nilitaka tu useme....
Kwamba huamini am single?
Nilitaka nihakikishe tu kama kweli nitume application
sikiliza huko siyo unang'ata vidole hapa