brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
basi mi
not single
Am married
Hahah rubi nimeona comment yako yule kaka mwenye kibamia umemkatisha tamaa jamaniii
basi mi
not single
Am married
aaaah we utakuwa mtoto wa mamaWe acha kuhangaika na Info za watu wanazoweka hadharani. Sehemu yoyote kupata up to date info ni kazi.
Au ndo unataka ukipata mpenzi tu uende kwenye sosho network zote ukaaupdate. Ukipigwa chini ukaupdate tena?
Ogopa wanaojiita single,watu miaka na miaka fb au whatsapp au wapi hawana picha za wapenzi au hata za familia ili wasitoswe,ukimwuliza mtu yupo fasta kujibu yupo single ila unaona kama umri umeenda kiasi flani.ukiview huoni picha ya mke au mme wake,basi hata ya mtoto.
Ogopa sana wanaojiita single ni wahuni mno unaweza kuuawa kwa rungu kwenye mapaja ya mtu.
hata kama hujazaa kama una mtu na we ni mwaminifu upo committed
Duh....... kuanzia sasa....
I'm not single, I'm album..... baaaaasi
Hahah rubi nimeona comment yako yule kaka mwenye kibamia umemkatisha tamaa jamaniii
teq teq teq..na mimi i'm producer
Ukiona manyoya ujuwe kashaliwa. Pole kwa maswahibu yaliokupata.
mi kidume bhana,ila napenda single haswa sitaki kuaibishana mble ya safari
hahaaaa mbavu zangu wengine nyota za bundi 40+ hajazaa wala kupata mtu unakuta akipata game moja mwenzie kapokea afanyeje aandike in a relationship?
napendaga ile 'complicated' iko ki uwindaji hivi
Hata wasemao married hao nyoka wakubwa ogopa
Married bachelor...
ha ha ha ha ha aOgopa wanaojiita single,watu miaka na miaka fb au whatsapp au wapi hawana picha za wapenzi au hata za familia ili wasitoswe,ukimwuliza mtu yupo fasta kujibu yupo single ila unaona kama umri umeenda kiasi flani ukiview huoni picha ya mke au mme wake,basi hata ya mtoto.
Ogopa sana wanaojiita single ni wahuni mno unaweza kuuawa kwa rungu kwenye mapaja ya mtu.
Duh....... kuanzia sasa....
I'm not single, I'm album..... baaaaasi