HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
WaTz wengi haeajui uhalisia wa mambo hasa kisiasa wanadhani mtu kisiasa anapimwa kwa elimu yake na pesa au style ya maisha yake,wengi mlimdharau Babalevo na kumkashifu na kusahau kuwa kuna Mungu haya msiemtaka kaletwawa.
Mjifunze kubakiza maneno wakati mwingine,Babalevo ni bora kuliko wote waliomtangulia hapo Kigoma huu ni wakati wa kuwekeza kwa wasiosoma kwani WASOMI wa Tanzania ni mabumunda vichwani.
Mjifunze kubakiza maneno wakati mwingine,Babalevo ni bora kuliko wote waliomtangulia hapo Kigoma huu ni wakati wa kuwekeza kwa wasiosoma kwani WASOMI wa Tanzania ni mabumunda vichwani.