Wengi hawana muda wa tendo la ndoa Japan

Wengi hawana muda wa tendo la ndoa Japan

Kule watu ni workaholic, wanafanya kazi mpaka wanafia maofisini.... Wakitoka ofisini hawana mda wa tendo wamechoka mbayaaaa
 
Hii niliwahi kumsikia jamaa mmoja aishe japan, nilijua ni utani kumbe kweli??
 
Bila shaka huko japan hakuna kuchepuka !!

Wachepukaji kule ni wanawake...
Ni mwendo wa serengeti boys tu...
Mume anatafuta ela mke anatumbua...

Sababu mila zao mwanamke hafanyi kazi...
Ila mshahara wa mume ndiye anayeutunza...
Hata ela ya soda inabidi umuombe mkeo...
 
watu wako bize na kazi kukuza uchumi tofauti na Afrika,watu wapo wapo tu siku ziende
 
New generation kwenye mapenzi wako sana tu lakini kutokana na gharama za maisha wengi wao hawataki kusikia kabisa maswala ya kuwa na watoto (wake kwa waume), hivyo kama hali itaendelea kwa miaka mingine 15 au 20 basi uchumi wao utaathirika sana. Serikali itabidi ianze kutoa incentives za kuvutia ili watu wawe na watoto au waruhusu wahamiaji kwa idadi kubwa sana.

good ni relative term...wenyewe wanaona aibu...ha ha ha
new generation wanajitahidi ku act malovedave ya kizungu...unakuta watu wamekumbatiana tu kwenye train...
sasa sijui kama wakioana wana sustain au wanarudi kwenye asili...
 
I love Japanese, muda wa kuwaza ngono wanautoa wapi? Watu wapo busy kuwaza maisha na maendeleo . Wakati sisi tunawaza kupigana pu.mbu saa zote halafu serikali yao imeboresha gharama za kujikimu kwa wenye watoto wadogo lakin still Wapo busy na kazi, leo ukiwa na mwanamke bongo ukiwa mtu wa safari au kazi sana jiandae mkeo kubanduliwa mazafanta.
 
Back
Top Bottom