3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 282
Hata hivyo inabidi hawa viongozi wa dini nyingine nao wasiwe wazito kujifunza vitu rahisi. Haiwezekani wakawa hawana idea ya ku-initiate kitu hadi wenzao waanzishe. Ukitoka waraka, nao wanataka wao...... sasa Arusha, hadi maaskofu waongee. Watanzania tusikimbie shule, inasaidia sana.