wema Sepetu Glitter Night

Davie S.M

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
748
228
Yaani Hapa Nachokiona' ni
Mashindano ya Vitambi,Boobs Zimeinuliwa Balaa na Chinese butt na Visturi (HighHills)Maana wanawake Short Chassis wa Mjini wote wana Height ya 6FT...Hakika Wamevunja Makabati.
 

Attachments

  • Screen_20120623_232533.jpg
    Screen_20120623_232533.jpg
    18.1 KB · Views: 675
  • Screen_20120624_001348.jpg
    Screen_20120624_001348.jpg
    11.8 KB · Views: 673
  • Screen_20120624_000512.jpg
    Screen_20120624_000512.jpg
    16.3 KB · Views: 554
Hahaha mi Mwanaume Banaa lazima nichunguze Hasa nsije nkang'oa kimeo..

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kwa vile tu ni wanawake basi moja kwa moja wanajiuza...

Mwanamke kujiacha maungo nje na kujipaka kila aina ya rangi usoni, kujichubuwa ngozi kwa kutumia kila aina ya mchubuo unaojulikana duniani, kuanzia mafuta ya jenereta mpaka vidonge vya arv, kujibandika manywele ya maiti na kwenda kujianika mbele ya halaiki ya wanaume, kama si kujiuza ni nini?
 
Mwanamke kujiacha maungo nje na kujipaka kila aina ya rangi usoni, kujichubuwa ngozi kwa kutumia kila aina ya mchubuo unaojulikana duniani, kuanzia mafuta ya jenereta mpaka vidonge vya arv, kujibandika manywele ya maiti na kwenda kujianika mbele ya halaiki ya wanaume, kama si kujiuza ni nini?

Mh...Nywele za maiti unauhakika,pili kujianika mbele ya wanaume maanake nini,kwa vile hao wanaume wapo mtu ndio asitoke kisa wapo hao wanaume..
 
Mh...Nywele za maiti unauhakika,pili kujianika mbele ya wanaume maanake nini,kwa vile hao wanaume wapo mtu ndio asitoke kisa wapo hao wanaume..

Tazama picha hiyo juu, halafu useme kama huko si kujianika.
 
Hiki ni nini?



Wengine ni kutaka tu kuonekana yuko kwenye fashion,ndio kinachosumbua wengi kwa sababu tu anaona maceleb au kaona kwenye video kwa hiyo naye anafuata anacho ona kama ambavyo sio kila mwanaume anayevaa suruali za kubana ni shoga kama wengi wanavyo dhani,mwingine kwa vile tu kamuona Lil wayne kavaa na yeye amavaa,lazima uweze kutofautisha hilo,tatizo kubwa ni kuiga kila wanacho ona bila kuangalia inaendanaje na jamii waliopo.Wapo wanawake wengi sana hawavai hivyo especially maofisini,lakini wako radhi kulala na mwanaume yoyote including waume za watu ili kupata vitu fulani kwa ajili ya tamaa zao.
 
Wengine ni kutaka tu kuonekana yuko kwenye fashion,ndio kinachosumbua wengi kwa sababu tu anaona maceleb au kaona kwenye video kwa hiyo naye anafuata anacho ona kama ambavyo sio kila mwanaume anayevaa suruali za kubana ni shoga kama wengi wanavyo dhani,mwingine kwa vile tu kamuona Lil wayne kavaa na yeye amavaa,lazima uweze kutofautisha hilo,tatizo kubwa ni kuiga kila wanacho ona bila kuangalia inaendanaje na jamii waliopo.Wapo wanawake wengi sana hawavai hivyo especially maofisini,lakini wako radhi kulala na mwanaume yoyote including waume za watu ili kupata vitu fulani kwa ajili ya tamaa zao.

Samaki mmoja akioza...

Mwanamke alivyoumbwa, kila kiungo chake kwenye kiwiliwili kimependelewa kuvutia wanamme, wacha kiwiliwili hata sauti zao zimefanywa kuwa na mvuto wa aina yake, sasa inahusu nini kwenda kuvianika hivyo mbele ya halaiki, sasa huyo anaonesha mpaka chupi, kama sio kuhamasisha watu wabakane ni nini?

Kweli wahenga walinena "kizuri chajiuza kibaya chajitembeza". Si kuiga tu, ni ukosefu wa maadili wa hali ya juu, ndio hao wa sampuli ya "mama nimekuletea zawadi", haulizwi hiyo zawadi kainunua kwa kufanya kazi gani?
 
Duh, kumbe Wema ni sawa na mademu/vicheche vya mjini. Kitambi utafikiri ana watoto 4 kumbe hata wa kusingizia hana. Anaboa siku hizi ataishia tu kuonga wanaume ili aandikwe magazetini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom